Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 897
Sawa kabisaKwenye kufunga sina ubishi ila kuucheza sasa huo mpira
Messi noma
Sina hakika sana lakini nafkiri ni mfaransa yule beki 3 wa PSG lauvin kurlzawa ndyo nilipenda jina lake nikona bora nilitumieSawa kabisa
Nakubaliana na wewe
Kurlzawa jina lakipoland.A polish name,right?
Poa mkuu.Haya messi nae huku kapiga 3 peke yake,waache keleleSina hakika sana lakini nafkiri ni mfaransa yule beki 3 wa PSG lauvin kurlzawa ndyo nilipenda jina lake nikona bora nilitumie
Acha masikhara mkuuPoa mkuu.Haya messi nae huku kapiga 3 peke yake,waache kelele
Ukahaba huo sio ushujaaKwani mtu aliyeoa wake wengi na kuacha ndiyo shujaa Wa ndoa kuliko mwenye mke mmoja Kwa miaka mingi?
Mi nachek game hapa,we chek livescore kwenye cm yako.Acha masikhara mkuu
Goal scoring machine ya bernabeo iko located inside penalty box tu mkuuMi nachek game hapa,we chek livescore kwenye cm yako.
Goal la kwanza faulo nzuri tu,naona msimu huu kaziokota faulo nyingi
Hiyo mchezaji bora wa mashindano ya dunia kachukua lini na yapi maana hii sijawai isikia?1.Messi alishawahi funga goal 5 mechi moja ya UEFA kitu ambacho cr7 hajawahi
2.Messi amewahifunga hatrick Elclasico Ronaldo hajawahi hata kuinusa tu
3.Messi kafunga freeckick Elclasico ronaldo hajawahi
4.Messi kawa mchezaji bora wa World cup tornment cr7 hatokuwa kamwe
5.Messi ana record ya goals 90 katika mwaka mmoja Cr7 hatoweza fikisha hadi anaolewa Morocco
MESSIAH G.O.A.T
2014 ulikuwa bado hujazaliwa?Hiyo mchezaji bora wa mashindano ya dunia kachukua lini na yapi maana hii sijawai isikia?
Best in his genaration not all time, mostly we didn't know what past was and what will come in next generation.Wapumbavu na mazandiki ya soka hayawezi elewa uwezo wa LeoMessi kumbukeni he is considered as BEST PLAYER OF ALL TIME
akili zako zimefilisika wewUngekuwa unajua kidhungu usingetusumbua na kiswali chako
hahaaaajaji;nani mkubwa kuliko mwenzake kati yenu?
Ronaldo;mimi
jaji ; je, ni nani aliefunga magoli mengi zaidi katika historia ya mechi baina ya timu zenu?
Ronaldo;Messi
jaji; haya nimeshawasikiliza sana je kwe mashindano ya mwaka huu kombe la dunia mnategemea kuzifikisha timu zenu wapi?
messi;aah mimi kama last time tu ntaifikisha fainali natumain tutachukua mwaka huu
ronaldo;aah mimi jaji kwakweli huko sio level yangu mahisi tutatoka kwe makundi au round ya mtoano tukijitahidi sana yani kama last time tu
jaji; aya kuanzia leo ronaldo unahukumiwa kifungo cha nje ukafagie nyumban kwa messi na kumsaidia kazi antonella
mtoa mada hana akili ...amerogwa sio mzima ...yaani kama ronaldo ni bora "" mbona amekuwa ana haha sasa ili aweze kujicompare na messi ""1.Messi alishawahi funga goal 5 mechi moja ya UEFA kitu ambacho cr7 hajawahi
2.Messi amewahifunga hatrick Elclasico Ronaldo hajawahi hata kuinusa tu
3.Messi kafunga freeckick Elclasico ronaldo hajawahi
4.Messi kawa mchezaji bora wa World cup tornment cr7 hatokuwa kamwe
5.Messi ana record ya goals 90 katika mwaka mmoja Cr7 hatoweza fikisha hadi anaolewa Morocco
MESSIAH G.O.A.T
ndio hao wengi wapiga makeleleHahahahaaaaa.....duh dunia haishi vituko,yani messi una mlinganisha na ronaldo,ila bila shaka we ni Man u fan
kwani unadhani hawaelewi "" wanaelewa ila wanajitoa ufahamu....mchezaji aliyeshinda uchezaji bora wa dunia Mara 3 mfululizo uka mfananishe na yule punga kweliHawawezi elewa
hahaha hapo ssaGoal scoring machine ya bernabeo iko located inside penalty box tu mkuu