Jamani hebu tuwe wakweli, hivi Messi ana kipi cha kumzidi Ronaldo?!

Jamani hebu tuwe wakweli, hivi Messi ana kipi cha kumzidi Ronaldo?!

Tatizo CR akisikia mkali anahamia madrid anatangaza mkwara wa kuhama, anayaka hat trick zote apige yeye, hivi heleni wanavaa watu gani ?
Daaa kak umeninifurahisha sijui uliwaza nn et sufi
 
Inasikitisha sana ukisoma comments za kuhusu hawa watu wawili,nilianza kumpenda sana Ronaldo wakati namuona pale Man U..na baadae kule Real Madrid.Kipindi namsikia Messi Messi nikasema ngoja nianze kumfuatilia.Ukiwa mtu makini sana pasipo kufuatiliwa na kusukumwa na mtu..utaona jambo ambalo na kipekee kwa hawa watu wawili.
"Ukiacha ile ya kukimbia na mpira kama mwendawazimu sijui wenyewe mnaitanga kudribble" Fuatilia vizuri mpira,kaa usome vyema nini maana ya Dribbling,role za hawa watu wawili.Tuwe tunaacha habari ambazo zina dhihirisha UPUMBAFU wa akili yako na kutokujua maana ya Mpira.Kama huwezi jua maana ya Dribbling basi huwezi pia kujua hawa watu wawili wanafanya ni kiwanjani na katika timu zao.
 
Inasikitisha sana ukisoma comments za kuhusu hawa watu wawili,nilianza kumpenda sana Ronaldo wakati namuona pale Man U..na baadae kule Real Madrid.Kipindi namsikia Messi Messi nikasema ngoja nianze kumfuatilia.Ukiwa mtu makini sana pasipo kufuatiliwa na kusukumwa na mtu..utaona jambo ambalo na kipekee kwa hawa watu wawili.
"Ukiacha ile ya kukimbia na mpira kama mwendawazimu sijui wenyewe mnaitanga kudribble" Fuatilia vizuri mpira,kaa usome vyema nini maana ya Dribbling,role za hawa watu wawili.Tuwe tunaacha habari ambazo zina dhihirisha UPUMBAFU wa akili yako na kutokujua maana ya Mpira.Kama huwezi jua maana ya Dribbling basi huwezi pia kujua hawa watu wawili wanafanya ni kiwanjani na katika timu zao.
Kwaiyo wewe upo upande gan kati ya hao watu wawili?
 
Inasikitisha sana ukisoma comments za kuhusu hawa watu wawili,nilianza kumpenda sana Ronaldo wakati namuona pale Man U..na baadae kule Real Madrid.Kipindi namsikia Messi Messi nikasema ngoja nianze kumfuatilia.Ukiwa mtu makini sana pasipo kufuatiliwa na kusukumwa na mtu..utaona jambo ambalo na kipekee kwa hawa watu wawili.
"Ukiacha ile ya kukimbia na mpira kama mwendawazimu sijui wenyewe mnaitanga kudribble" Fuatilia vizuri mpira,kaa usome vyema nini maana ya Dribbling,role za hawa watu wawili.Tuwe tunaacha habari ambazo zina dhihirisha UPUMBAFU wa akili yako na kutokujua maana ya Mpira.Kama huwezi jua maana ya Dribbling basi huwezi pia kujua hawa watu wawili wanafanya ni kiwanjani na katika timu zao.
Acha maneno mengi andika point
 
Waambie hao, waliomuuliza wakimtega, walimuuliza kwenye kukosi chake cha wachezaji 11, angependa awe na Messi au hiyo CR, akasema Messi angekuwepo kwenye timu yake, kumbuka Pele hakuwa mtu wa kusubiri mpira kwenye box .
Asanteeee
 
Sasa hiyo Ina tija au hasara gani na kwa Nani? Hivi bila kipaji utacheza soka uwe Bora? Ronaldo ataishia maisha kama ya binadamu yeyote ,anajirusha,anat......ba,nk na bado yuko juu.Bwana mfupi yeye ni only one accupation being.
At the end of the day wote ni wachezaji wakubwa na wame pata mafanikio mbalimbali.
Kwa upeo wangu na mtazamo wangu naona Messi comes on top.
Kama Ray Hudson asemavyo "Messi is MAGISTERIAL!!!"
 
Ronaldo anashindana na messi..messi ni talent yake anacheza kwa raha zake
 
Hiki hapa.
FB_IMG_1522697094696.jpg
 
Tofauti yao ni kuwa Ronaldo ancheza ili yeye apate mafanikio na sifa lakini Messi anacheza ili timu ifanikiwe.....
 
We umeweka utan ila mess alichozidiwa na ronaldo ni umalaya na umri ila messi kamzid jamaa karib kila kitu mpk ndoa
 
Siku messi anastaaf mpira au kufa galfa naiman mpira utapoteza ladha halis ya kuitwa mpira,kwan mess anafananishwa na nan ktk dunia hii na ronaldo anafananishwa na nan ktk dunia hii ya soka
 
We umeweka utan ila mess alichozidiwa na ronaldo ni umalaya na umri ila messi kamzid jamaa karib kila kitu mpk ndoa
Mkuu!!! Mesi alchoziwa na ronaldo umalaya na umr....alaf tena Mess kamzid kila kitu ronaldo!!!!! Mbona usomeki!
 
Mapenzi mubashara yameonyeshwa na mmiliki wa uzi
 
Poster you have a little brain inspite of being blessed wit a.big head
 
Back
Top Bottom