Jamani hii nchi mbona kodi na tozo zimezidi mno?

Jamani hii nchi mbona kodi na tozo zimezidi mno?

Herbalist Mtaturu

Senior Member
Joined
Aug 17, 2023
Posts
156
Reaction score
237
Jamani haya mambo ya kila kitu kodi sindio alikua anafanya mkoloni?Bmbona yamerudi kwa kasi kubwa nchini hali ya kuwa nchi ina rasilimali za kiasili nyingi mno?

Serikali kuna maeneo mngefikiria tu kuyaacha ili kula wote keki ya Taifa.

Sio kila mahali mnatafuta kodi kodi kodi wajati kuna maeneo mbadala ya madini ,gesi, misitu, mali asili zote , bahari na maziwa.

Sasa mtu ananunua uwanja eneo halina maji, umeme, hajaanza kujenga alipie kodi ya kibali.

Nyumba akijenga atalipia kodi ya majengo kupitia LUKU.

Ardhi atalipia kodi.

Cement tayari ina kodi bajeti ya majuzi imeongezwa buku.

Mchanga una kodi.

Akivuta umeme analipa kodi.

Maji kodi serikalini, UWURA nk

Akifungua kiduka cha Mangi hapo nje kodi.

Mshahara wake huko kazini kodi PAYEE.

Akifanya sherehe nyumbani kwake alipe kodi.

Jamani, huu mfumo wa kodi mbona nyonya damu? Yani inakua kama wanasema "sisi tulipigania uhuru hamuwezi kukaa kwenye ardhi yetu bure".

Au tusubiri hii tume ya Rais aliyounda juzi kuangazia mwenendo wa kodi nchini turned itakuja na mapendekezo gani.

FB_IMG_1724165864540.jpg
 
JAMANI HAYA MAMBO YA KILA KITU KODI SINDIO ALIKUA ANAFANYA MKOLONI???
MBONA YAMERUDI KWA KASI KUBWA NCHINI HALI YA KUWA NCHI INA RASILIMALI ZA KIASILI NYINGI MNOO.

Serikali kuna maeneo mngefikiria tu kuyaacha ili kula wote keki ya Taifa.

Sio kila mahali mnatafuta kodi kodi kodi wajati kuna maeneo mbadala ya madini ,gesi, misitu, mali asili zote , bahari na maziwa.

Sasa mtu ananunua uwanja eneo halina maji, umeme, hajaanza kujenga alipie kodi ya kibali.

Nyumba akijenga atalipia kodi ya majengo kupitia LUKU.
Ardhi atalipia kodi.
Cement tayari ina kodi bajeti ya majuzi imeongezwa buku.
Mchanga una kodi.
Akivuta umeme analipa kodi.
Maji kodi serikalini, UWURA nk

Akifungua kiduka cha Mangi hapo nje kodi.
Mshahara wake huko kazini kodi PAYEE.
Akifanya sherehe nyumbani kwake alipe kodi.

Jamani, huu mfumo wa kodi mbona nyonya damu? Yani inakua kama wanasema "sisi tulipigania uhuru hamuwezi kukaa kwenye ardhi yetu bure".

Au tusubiri hii tume ya Rais aliyounda juzi kuangazia mwenendo wa kodi nchini turned itakuja na mapendekezo gani.
Angalau watupige hizo kodi tuone kweli mambo yanaenda hata huduma za kijamii tuzione bado changamoto !!
 
Kila nchi ila rasilimali na Kodi wanalipa. Lipa Kodi kwa maendeleo ya taifa lako.
Kodi zilipwe ila sio kwa utitiri wa Kodi tulizonazo!!! Na kwa nchi kama tz ilikua hakuna haja ya kodi sehem yeyote kwa wananchi,
 
Back
Top Bottom