Jamani, hii ndoto imekaaje?

Jamani, hii ndoto imekaaje?

Hapo palipo jaa maji yakakusomba palikua ni Bandarini daslam bilashaka...😊
Ulivyo kamatia lichuma usipelekwe na maji ni dalili ya wewe kama mtanzania kukataa Bandari isichukuliwe...🤗
Kalivyo kua kanakuokoa ni tafsiri ya mbwembwe tunazo fanyiwa na huyu Habibi kwamba tukiondoka bandarini watatusaidia...😑
Kalivyo choropoka nduki tafsiri yake ni kwamba ipo siku tutawatimua dp na watakimbia....😎
😂😂 Mkuu hapa umetisha Sana
 
Back
Top Bottom