fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Sasa kwann na ww unasema unatamani upate demu afu umuingze ukubi wa moto ..?Wanaonifahamu watakushangaa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwann na ww unasema unatamani upate demu afu umuingze ukubi wa moto ..?Wanaonifahamu watakushangaa sana
😀😀😀😀daah🤣🤣🤣🤭 Mpaka kachanganyikiwe kashindwe kuona kuku na kuziona kama ngedere
Shauri yako ww tania tania mwsho wa sku utakua upinde kweli mtot🤣🤣🤣Nikiamua huwa na comment vyovyote....hujanitambua bado? Am a charming woman🥴
Mwali wangu karudi haraka!hivi hata genesis chapter 5 kafika kweli huyu?
Kukausha ma water!Kuku zipo huku, sema kingine
Hiyo chapter 3 sidhan kama amemalizaMwali wangu karudi haraka!hivi hata genesis chapter 5 kafika kweli huyu?
😂😂 Mkuu hapa umetisha SanaHapo palipo jaa maji yakakusomba palikua ni Bandarini daslam bilashaka...😊
Ulivyo kamatia lichuma usipelekwe na maji ni dalili ya wewe kama mtanzania kukataa Bandari isichukuliwe...🤗
Kalivyo kua kanakuokoa ni tafsiri ya mbwembwe tunazo fanyiwa na huyu Habibi kwamba tukiondoka bandarini watatusaidia...😑
Kalivyo choropoka nduki tafsiri yake ni kwamba ipo siku tutawatimua dp na watakimbia....😎
ny*ge zimepanda kichwani😂🤣🤣Ndoto hiyo wangu