fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Sasa kwann na ww unasema unatamani upate demu afu umuingze ukubi wa moto ..?Wanaonifahamu watakushangaa sana
😀😀😀😀daah🤣🤣🤣🤭 Mpaka kachanganyikiwe kashindwe kuona kuku na kuziona kama ngedere
Shauri yako ww tania tania mwsho wa sku utakua upinde kweli mtot🤣🤣🤣Nikiamua huwa na comment vyovyote....hujanitambua bado? Am a charming woman🥴
Mwali wangu karudi haraka!hivi hata genesis chapter 5 kafika kweli huyu?
Kukausha ma water!Kuku zipo huku, sema kingine
Hiyo chapter 3 sidhan kama amemalizaMwali wangu karudi haraka!hivi hata genesis chapter 5 kafika kweli huyu?
😂😂 Mkuu hapa umetisha SanaHapo palipo jaa maji yakakusomba palikua ni Bandarini daslam bilashaka...😊
Ulivyo kamatia lichuma usipelekwe na maji ni dalili ya wewe kama mtanzania kukataa Bandari isichukuliwe...🤗
Kalivyo kua kanakuokoa ni tafsiri ya mbwembwe tunazo fanyiwa na huyu Habibi kwamba tukiondoka bandarini watatusaidia...😑
Kalivyo choropoka nduki tafsiri yake ni kwamba ipo siku tutawatimua dp na watakimbia....😎
ny*ge zimepanda kichwani😂🤣🤣Ndoto hiyo wangu