Jamani, hii ndoto imekaaje?

Jamani, hii ndoto imekaaje?

Maji yanayotiririka ni ishara ya misukosuko utakayokutana nayo baadaye.

Utapata msaada toka kwa watu/mtu usiyekuwa na ukaribu sana naye.

NB: Hii ndoto usiichukulie kirahisi kama baadhi ya member wanavyoleta utani. Nina uzoefu na ndoto za kuota maji hasa mto. Kuna shida yaweza kuja mbeleni. Omba sana Mungu isikupate.[emoji120]
 
Maji yanayotiririka ni ishara ya misukosuko utakayokutana nayo baadaye.

Utapata msaada toka kwa watu/mtu usiyekuwa na ukaribu sana naye.

NB: Hii ndoto usiichukulie kirahisi kama baadhi ya member wanavyoleta utani. Nina uzoefu na ndoto za kuota maji hasa mto. Kuna shida yaweza kuja mbeleni. Omba sana Mungu isikupate.[emoji120]
Asante sana mkuu ♥️🙏
 
Nimemwota muuza kuku😳...Yaan mpenz wangu sijawahi mwota hata mara Moja lakini Leo nashtuka toka usingizini nacheeeka.Ilikuwaje!?
Ni hivi,nimeota nilikuwa navuka daraja nyakati hizo mvua inanyesha sana... mbele yangu Kuna bro pia alikuwa anavuka (hapo sijajua kuwa ndo huyo muuza kwio)....sasa,mara ghafla maji kujaa Kwa daraja nikaanza kusombwa na maji vile napelekwa nikasikia kelele...SHIKA UKINGO WA DARAJAAA!! Kwani naelewa?!🙄 Mara nikadakwa mkono mmoja kutazama ni nani kumbe ndo huyo muuza kuku (nadhani alipoona sielewi aliponiambia nishike pembezoni mwa daraja akaona aniokoe tu!)
Muda tupo pale akawa ananiangaikia nipande juu nikashike ukingoni mwa daraja....akafanikiwa nikawa nimekamatia chuma kimoja pale ingali maji bado Yana nguvu sana,nikawa nipo kwe hofu kubwa sana....akanisoma so akaanza kuniongelesha Kwa kunipoza maneno mengiii,kwani namwelewa sasa🤒 mara ghafla mie ndo nakuwa wa kwanza kuona maji yanapungua yeye hana habari anitazama na kunipigisha stori nisizozielewa......Nami ikawa zamu yangu kupiga kelele...."OYAA,KIMBIA MAJI YAMEPUNGUAA!!!

Mshkaji kushtuka anaona kweli maji yamepungua,akainuka chap na kuanza mbio...sasa na ufupi ule kalivyokuwa kanachanganya miguu tena speed ya juu...mie huku nyuma hoi si nikaanza kucheka....Cheka kweli(kumbuka nacheka bado sijatoka darajani) Cheka kweli mpaka nimeshtuka ndotoni Bado nacheka🤣🤣🤣 Ngoja nikakatembelee baadae
Aisee.. Samia yupo sahihi tu kuuza bandari
 
Nimemwota muuza kuku😳...Yaan mpenz wangu sijawahi mwota hata mara Moja lakini Leo nashtuka toka usingizini nacheeeka.Ilikuwaje!?
Ni hivi,nimeota nilikuwa navuka daraja nyakati hizo mvua inanyesha sana... mbele yangu Kuna bro pia alikuwa anavuka (hapo sijajua kuwa ndo huyo muuza kwio)....sasa,mara ghafla maji kujaa Kwa daraja nikaanza kusombwa na maji vile napelekwa nikasikia kelele...SHIKA UKINGO WA DARAJAAA!! Kwani naelewa?!🙄 Mara nikadakwa mkono mmoja kutazama ni nani kumbe ndo huyo muuza kuku (nadhani alipoona sielewi aliponiambia nishike pembezoni mwa daraja akaona aniokoe tu!)
Muda tupo pale akawa ananiangaikia nipande juu nikashike ukingoni mwa daraja....akafanikiwa nikawa nimekamatia chuma kimoja pale ingali maji bado Yana nguvu sana,nikawa nipo kwe hofu kubwa sana....akanisoma so akaanza kuniongelesha Kwa kunipoza maneno mengiii,kwani namwelewa sasa🤒 mara ghafla mie ndo nakuwa wa kwanza kuona maji yanapungua yeye hana habari anitazama na kunipigisha stori nisizozielewa......Nami ikawa zamu yangu kupiga kelele...."OYAA,KIMBIA MAJI YAMEPUNGUAA!!!

Mshkaji kushtuka anaona kweli maji yamepungua,akainuka chap na kuanza mbio...sasa na ufupi ule kalivyokuwa kanachanganya miguu tena speed ya juu...mie huku nyuma hoi si nikaanza kucheka....Cheka kweli(kumbuka nacheka bado sijatoka darajani) Cheka kweli mpaka nimeshtuka ndotoni Bado nacheka🤣🤣🤣 Ngoja nikakatembelee baadae
Una uhakika umeota kweli hii ndoto?
 
Back
Top Bottom