Jamani hivi kuuziwa kitu kwa bei kubwa (kwa vitu visivyo na bei elekezi) hii ikoje kisheria

Jamani hivi kuuziwa kitu kwa bei kubwa (kwa vitu visivyo na bei elekezi) hii ikoje kisheria

hardymtanzania

New Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
3
Reaction score
7
leo nilikuwa kufanya manunuzi pale soko la Karume (Dar es salaam) sasa kuna sehemu nikawa nimenunua suluali ya spesho kwa elfu ishirini, na nikarizika kwakutojua bei harisi lakini kwenye pita pita zangu za hapa na pale nikakuta suluali kama ile ile niliyo inunua mwanzo na brand ya kampuni ni ile ile lakin naambiwa bei elf kumi , ilinichanganya sana nikaona nijaribu kuuliza hii ikoje
 
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Bei ya bidhaa ambayo haina bei elekezi inategemea na factors nyingi.

Mfano uliponunua ni kwenye frem ambayo analipa kodi, ana wafanyakazi ambao pia anawalipa mshahara. Then ukaja kuona bidhaa hiyihiyo bei ndogo lakini kwa mtu aliyetundika goli au anauzia mkononi hapo tayari lazima bei zitofautiane ili wa kwanza aweze kucover cost na kupata faida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
leo nilikuwa kufanya manunuzi pale soko la Karume (Dar es salaam) sasa kuna sehemu nikawa nimenunua suluali ya spesho kwa elfu ishirini, na nikarizika kwakutojua bei harisi lakini kwenye pita pita zangu za hapa na pale nikakuta suluali kama ile ile niliyo inunua mwanzo na brand ya kampuni ni ile ile lakin naambiwa bei elf kumi , ilinichanganya sana nikaona nijaribu kuuliza hii ikoje
kamwambie akuongeze nyingne huenda alisahau.
 
Dar wafanyabiashara wengi matapeli,au muda mwingine unakutana na madalali.

Ndo maana wakipost vitu mtandaoni hawaandiki bei.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom