Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
- Thread starter
-
- #21
Sio kweli! Kupata hela ya kula shida! Wako wengi mara mia kuliko abiria! Mbeba LawamaVchwa 20 n ving kwa wingi wao pale stend ila iko hiv akipata abiria wa mwanza au dodoma yeye upata 5000 kama posho yao akikupeleka kwenye gar au ofisin wao uita chagora., kwaio kwa siku kuingiza 40000 n jambo la kawaida kabsa wapo wanaojielewa na wanafanya maisha na wapo wahun wao n kula na kulewa tu
Hayo ni matokeo ya udhaifu wa mifumo mbalimbali ya nchi hususani ukosefu wa elimu bora, uchumi, ajira n. K. Kuwafanyia ukatili ni kujidhihirisha kwamba wewe kiongozi ni kilaza na huna uwezo wa kutatua changamoto zinazoikabili jamii yako.Nikiwa Raisi wa TZ hao wote watasombwa kwenye maroli wataenda kumwagwa mto Ruvu waliwe na mamba.
Kuwa na binadamu wanaoleta fujo ni bora ukahukumiwe na Muumba.
Wakina Hitler,Idd Amini bado tupo hawajaisha ila tu hatujapata mamlaka. Yakisomba maroli mawili tu wengine wakapata habari wenzao wanakopelekwa, wote watapotea stand yaani wataenda kutafuta kazi halali na stand zitakuwa safi na heshima.
Ntawawapa muda waondoke kama hawatatii ntatuma mgambo wawakamate. Basi kwa huruma yako ntawapeleka kwenye mashamba ya geza ulole. Wakikaidi Wakarudi hapo ndio watakuwa chakuka cha mamba wa mto Rufiji. Sitanii mkuu. Yaani napenda napenda matokeo chanya on the spot. Na viongozu wote wanaohusika kuwadekeza nao ntawaunganisha kwenye kundi.Hayo ni matokeo ya udhaifu wa mifumo mbalimbali ya nchi hususani ukosefu wa elimu bora, uchumi, ajira n. K. Kuwafanyia ukatili ni kujidhihirisha kwamba wewe kiongozi ni kilaza na huna uwezo wa kutatua changamoto zinazoikabili jamii yako.
-Mkuu ili upate matokeo chanya ni lazima uwekeze elimu bora kwa watu.Ntawawapa muda waondoke kama hawatatii ntatuma mgambo wawakamate. Basi kwa huruma yako ntawapeleka kwenye mashamba ya geza ulole. Wakikaidi Wakarudi hapo ndio watakuwa chakuka cha mamba wa mto Rufiji. Sitanii mkuu. Yaani napenda napenda matokeo chanya on the spot. Na viongozu wote wanaohusika kuwadekeza nao ntawaunganisha kwenye kundi.
Tusipokuwa wakatili Africa itabaki kuwa masikini milele.
Haiwezekani watu wanajazana stand bila kazi maalumu. Kila anaefeli maisha anakimbilia stand.
Robo ya watu wa stand ndio wapo timamu wengi madishi yameyumba.
Inaonekana hamchukii hali ya stand.
Serikali imeweka mifumo ya ki electronics watu wa stand wameihujumu waziwazi wakishirikiana na matajiri ili waendelee kukwepa kodi. Stand inakusanya wakwepa kodi.
Mpka lini wakulima, wafanyakazi na wafanya biashara watawalea watu wa stand ? Hawachangii chochote ktk uchumi wa nchi ila walalamishi balaa. Mimi hapana ntakubali tu mnilaumu, i seear ipo siku atatokeza Raisi jamii ya Hitler hapo ndio mtajua hamjui JPM atasubiri.
Wanakugasigasi na kukushika na mikono yao ya shombo! Ni shidaaah!Hao niwasakatonge mkuu
Ukitaka wasikusumbue ukifika stend ukishuka tu kwenye daladala nenda opposite na wanachofikiria
Mfano wakifikiria unaenda stend ww nenda kinyume na mawazo yao bila kuwajibu wala kuwasemesha