Jamani hizi ndoa zenu za cc zinaturusha roho wenzenu!!!

Reading between the lines, nasikia harufu ya kuvunjwa kwa ndoa ya Filipo na marejesho kwa mujibu wa mleta mada... #Just thinking big.
 
Last edited by a moderator:
yaani wewe amu yako yote watu wa cc waachane na kupeana talaka hujui kuwa ndoa ni msingi wa Mungu ana ndiye aliyeanzisha?
 
Last edited by a moderator:
ladyfurahia wewe mbona umembwaga Mentor.
He he he na Mentor alivokuwa handsome wa kichaga soon ataopoa mzigo mwingineeee
utaliajeeeee sasa
 
Last edited by a moderator:
sijambwaga niko nae best basi ni matatizo ya kwenye ndoa tu yamefanya litokee jambo lile, bado naye ananipenda nami vivyo hivyo, hawezi pata mwingine zaidi ya mm bestito
ladyfurahia wewe mbona umembwaga Mentor.
He he he na Mentor alivokuwa handsome wa kichaga soon ataopoa mzigo mwingineeee
utaliajeeeee sasa
 
sijambwaga niko nae best basi ni matatizo ya kwenye ndoa tu yamefanya litokee jambo lile, bado naye ananipenda nami vivyo hivyo, hawezi pata mwingine zaidi ya mm bestito
hongera jamani
jua watu tunasubiri uangushe mkono tuuu tuuokote
Msalimie Mentor
 
Last edited by a moderator:
haa haa haa haa hee heee heee jamani wanichekeshaje?
salamu zimefika best usikonde kwani wamfahamu vilivyo jinsi alivyo? nin kimevutia kwake?
hongera jamani
jua watu tunasubiri uangushe mkono tuuu tuuokote
Msalimie Mentor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…