Jamani hizi ndoa zenu za cc zinaturusha roho wenzenu!!!

Last edited by a moderator:
Bujibuji tangu lini bonge la bwana likajisifia lenyewe? ukiona hivyo ujue hilo ni bonge la nyau...
Yani sioati picha siku ukifanikiwa japo kumsalimia kwa kumshika mkono tu my wife wangu mwaJ sijui utashangilia ama utalia?
Mwita Maranya, napenda unavyoniona nyau, huku nikiwa najikamulia zangu alizetoi kwa mwaJ kimyakimya
 
Last edited by a moderator:
Wenzio tunajua ni chit chat wengine wanafanya kweli
wakikutana wote wako kama walivyozaliwa kesho
ukija tu ubaoni unakuta Mamndenyi nakupa talaka amu uwe jasiri vinginevyo utadhoofika mwili.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…