Mmmmhhh...mkwe
Uwe wewe nini?
Mkwe shikamoo
Marhaba mkwe naona unachangamka
Uwe wewe nini?
Hapa sielewi vizuri mama naomba nieleweshe kinachoendelea.
Umeshafafanuliwa hapo kwamba hyo ilikuwa kabla hamjaonana....unataka upigiwe magoti? Unanchosha na huko kudeka
unataman wewe ndio uwe husninyo unatafta mchumba au nimekusoma vibaya?
hehehe!!! sikuiona. ngoja niipitie ntakustua.
Naomba usimshitue huyu ni Mme wangu please namanisha.
mmmh umeolewa?Naomba usimshitue huyu ni Mme wangu please namanisha.
Sifa Zote Ninazo Ila Mimi Zangu Ni Mbili Tu 1.Uwe Bikra(Zote 2). 2.Usiwe Mfupi Kama Mzaramo.PM me If UnaFIT Husninyo
unataman wewe ndio uwe husninyo unatafta mchumba au nimekusoma vibaya?
Hahahahah....daughter una mkwaraa