Jamani Husninyo anatafuta mchumba


Hahahaaàaaaaaaaa bidada umenifurahisha duh.
 
Mkuu Kibo10 njoo ukae hapa, ninauhakika utapata pumziko la maisha yako.
 
Last edited by a moderator:

Huyo wa kwanza mbona simpo unabadili id tu
 
Interesting thread...sijui pm yangu bado ina maana?
 

CV yako.
 
Mahari yangu hiyo yaja...
Nilisota sana kusubiri aisee, yaani nilee, nisomeshe, halafu hata nusu hasara nisipate!
Hebu jitokezeni tu nichukue changu nisepe........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…