Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Jamani Husninyo anatafuta mchumba

We @ Husninyo s umekataa mume kule MMU yule anaetafta mke kwa mara ya mwsho, haumtaki????
 
Mom nitaibiwa Mme naona, sitaki kabisa. Tatizo Mme wangu ameleta utani wakati mwenzie anamanisha, huyu bidada akianza kumtafuta. Natamani nimwendee pm nasikilizia upepo mama.

tena kadri unavyoogopa ndio unazidi kunihamasisha.
 
Husninyo umepata mama
nasubir mrejesho plz

nilipata mama. wa kwanza akanambia anataka niachane na jf hapend kuona nnavyocheka cheka na kina hamisi. nikaona jamaa anataka kuniondolea uhuru wangu wa kutype mapema yote hii.
wa pili alinambia ana elimu ya masters lakini tangu amalize chuo hajapata kazi na anakaa kwao. nikahisi hapa ntakuwa napigwa free p na hela za boxer nitoe mim.
wa tatu yeye alitaka niwe tu mchepuko wake. hapa napo nikashindwa.
wa nne akasema yy ana true love ila ana certificate ya elimu na ni mwalimu wa chekechea. huyu nikahisi tutasumbuana, nitakuja kumdida mwisho wa siku aniezden bure.
wa tano ana vigezo vyote ila kagoma kupima STDs. hapo ndo nimetoka nduki nimeacha vumbi.
wa sita wiki ile ile anataka kuja kujitambulisha home madai hata kunichezea, mi nimemwambia nataka tuchezeane kwanza then twende home. jamaa kagoma. sijui anaficha nini.

bora tu niwe sister.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom