Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

Nakidhi vigezo. Na nilikupa offer miaka 4 kabla ya hili tangazo, unakumbuka?

Kwa kukukumbusha tu, ulinambia upo Dodoma (sijui ilikuwa kweli au kamba), nikaanza kujiandaa kufunga safari. Ukanirusha bila sababu maalum.

Offer still valid kwa wewe tu.
 
kwa mfano nina vigezo vyote ila sijakuzidi tu elimu,nina degree ya medicine alafu wewe una degree ya utunzaji bustani nakuwa nimekukosa!!?
 
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

Ila ni ya moto, ma mapeenzi
Mapeenzi ya kitoto, mwenzako siyawezi

Mama wee mama eeh
Kiguna guna weee

We nenda zako nimeshindwa, mi nasema
We nenda zako nimeshindwa, ni nasema
 
Ila ni ya moto, ma mapeenzi
Mapeenzi ya kitoto, mwenzako siyawezi

Mama wee mama eeh
Kiguna guna weee

We nenda zako nimeshindwa, mi nasema
We nenda zako nimeshindwa, ni nasema

aaaaaiiii bwachchu wanifukuza mwenzio.
 
kwa mfano nina vigezo vyote ila sijakuzidi tu elimu,nina degree ya medicine alafu wewe una degree ya utunzaji bustani nakuwa nimekukosa!!?

degree ya utunzaji bustani inatolewa chuo gani? hebu mifano yako iendane na ukweli kidogo.
 
Nakidhi vigezo. Na nilikupa offer miaka 4 kabla ya hili tangazo, unakumbuka?

Kwa kukukumbusha tu, ulinambia upo Dodoma (sijui ilikuwa kweli au kamba), nikaanza kujiandaa kufunga safari. Ukanirusha bila sababu maalum.

Offer still valid kwa wewe tu.

nakumbuka ofa yako. tatzo we kibabu... mi staki vibabu mwenzio.
 
Mahari yangu hiyo yaja...
Nilisota sana kusubiri aisee, yaani nilee, nisomeshe, halafu hata nusu hasara nisipate!
Hebu jitokezeni tu nichukue changu nisepe........

baba sema mapema unataka mahari kiasi gani. mahari haina discount mzee.
 
Back
Top Bottom