Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!
sifa za anaetafutwa
1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe
Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!
sifa za anaetafutwa
1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe
Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
kwa mfano nina vigezo vyote ila sijakuzidi tu elimu,nina degree ya medicine alafu wewe una degree ya utunzaji bustani nakuwa nimekukosa!!?
Nakidhi vigezo. Na nilikupa offer miaka 4 kabla ya hili tangazo, unakumbuka?
Kwa kukukumbusha tu, ulinambia upo Dodoma (sijui ilikuwa kweli au kamba), nikaanza kujiandaa kufunga safari. Ukanirusha bila sababu maalum.
Offer still valid kwa wewe tu.
Mahari yangu hiyo yaja...
Nilisota sana kusubiri aisee, yaani nilee, nisomeshe, halafu hata nusu hasara nisipate!
Hebu jitokezeni tu nichukue changu nisepe........
furahi tu mpenzi. maisha yenyeww mafupi.
Umemwita Mme wangu aje?
furahi tu mpenzi. maisha yenyeww mafupi.