Jamani huu Wimbo wa Taifa wa Zambia mmeulewa yaani kama wetu 🇹🇿

Jamani huu Wimbo wa Taifa wa Zambia mmeulewa yaani kama wetu 🇹🇿

Jaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu.

Nyerere shikamoo popote ulipo

Jana tumesikia wa South Africa mmh nao sijauelewa hope waliruhusiwa ku paste

Mtunzi wa nyimbo za Taifa za Tanzania, Zimbabwe, SA, Zambia kama kumbukumbu zipo sawa ni mmoja...

Kuna sehemu zinafanana kwenye namna ya kuziimba...
 
....E.Sontonga....xhosa clergyman...adapted by SA,Namibia, Tanzania, Zambia
 
goli la zambia la kijeshi sana kipa hatolisahau
 
Jaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu.

Nyerere shikamoo popote ulipo

Jana tumesikia wa South Africa mmh nao sijauelewa hope waliruhusiwa ku paste
Inaonekana wewe hujui asili wala mtunzi wa huo wimbo!
Ndio maana umemhusisha hata Nyerere!
Huu wimbo Tanzania ndio tulicopy, Zambia na hata Zimbabwe pia nao walicopy! Huu wimbo ulitungwa na raia wa Africa kusini Enoch Santonga mwaka 1897, ukijulikana Kama Nkosi Sikelel' iAfrica, ambayo ni lugha ya kizulu ikimaanisha Mungu ibariki Afrika, na ulikuwa ukiimbwa kanisani.

Zipo pia nchi nyingine Kama Malawi, Lesotho, Namibia na Botwaswana zimekuwa zikiimba Nkosi Sikelel' iAfrica.
Aliyeubadilisha huu wimbo na kuupa maneno ya kiswali ni Moses Nnauye.
 
Inaonekana wewe hujui asili wala mtunzi wa huo wimbo!
Ndio maana umemhusisha hata Nyerere!
Huu wimbo Tanzania ndio tulicopy, Zambia na hata Zimbabwe pia nao walicopy! Huu wimbo ulitungwa na raia wa Africa kusini Enoch Santonga mwaka 1897, ukijulikana Kama Nkosi Sikelel' iAfrica, ambayo ni lugha ya kizulu ikimaanisha Mungu ibariki Afrika, na ulikuwa ukiimbwa kanisani.

Zipo pia nchi nyingine Kama Malawi, Lesotho, Namibia na Botwaswana zimekuwa zikiimba Nkosi Sikelel' iAfrica.
Aliyeubadilisha huu wimbo na kuupa maneno ya kiswali ni Moses Nnauye.
Watoto mara watakuuliza, " kwani huyo kakae Nape goli la mkono alikua mwanamuziki wa bendi gani?"
 
Jaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu.

Nyerere shikamoo popote ulipo

Jana tumesikia wa South Africa mmh nao sijauelewa hope waliruhusiwa ku paste
Mwenzako Dua Said mchezaji wa Makolo kwa wakati huo, alikua kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichokua kinacheza na timu ya Taifa ya Zambia (KK BOYS/ KK ELEVEN), kabla ya mchezo kuanza, ulianza kupigwa wimbo wa Taifa wa Zambia ile kuisha akaanza kuruka ruka na kupiga makofi akishangilia akidhani ni wimbo wa Tanzania.
 
Mwenzako Dua Said mchezaji wa Makolo kwa wakati huo, alikua kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichokua kinacheza na timu ya Taifa ya Zambia (KK BOYS/ KK ELEVEN), kabla ya mchezo kuanza, ulianza kupigwa wimbo wa Taifa wa Zambia ile kuisha akaanza kuruka ruka na kupiga makofi akishangilia akidhani ni wimbo wa Tanzania.
Hahahaaaaaa
 

Attachments

  • Screenshot_20240118_005653_Chrome.jpg
    Screenshot_20240118_005653_Chrome.jpg
    63.7 KB · Views: 4
Kweli common knowledge isn't common. I thought wabongo wote wanajua hili.
 
Mtunzi wa nyimbo za Taifa za Tanzania, Zimbabwe, SA, Zambia kama kumbukumbu zipo sawa ni mmoja...

Kuna sehemu zinafanana kwenye namna ya kuziimba...

Zimbabwe walibadilisha if I remember correctly.
 
Jaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu.

Nyerere shikamoo popote ulipo

Jana tumesikia wa South Africa mmh nao sijauelewa hope waliruhusiwa ku paste
SHamba boy baada ya kumiliki smartphone
 
Jaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu.

Nyerere shikamoo popote ulipo

Jana tumesikia wa South Africa mmh nao sijauelewa hope waliruhusiwa ku paste
Huo wimbo uko wapi sasa . Mjifunze kuwasilisha mada
 
Back
Top Bottom