Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Na asichokijua huyo mleta mada yupo humu zamani kabla yakeKwani watoto hawatakiwi kuwepo mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na asichokijua huyo mleta mada yupo humu zamani kabla yakeKwani watoto hawatakiwi kuwepo mkuu?
Bila shaka wewe ni Gen Z.Jaman nimesikiliza wimbo wa Zambia mda huu sijaulewa kabisa yaan copy n paste na wa kwetu.
Nyerere shikamoo popote ulipo
Jana tumesikia wa South Africa mmh nao sijauelewa hope waliruhusiwa ku paste
Kuna uzalendo gani kwenye kutumia mwimbo wa Taifa uliotungwa na mtu wa nchi nyingine ????Hadi Leo bado watu hawajajua haya.
Inaonesha elimu ya uzalendo na fahari ya Afrika vimepotea tangu mitandao ianze kupumbaza vizazi vya sasa a