Karibu chimbo, hautajuta.Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Wewe utakuwa Masai, hauna nyumba wala ghetto, hauna pa kumpeleka..Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Mweleze hali halisi tu huna pa kumuweka atafute pa kulala mapema ila Usimzimie simu tu Mgeni,afike aanze kukutafuta,aangaike bureNina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Kwanini hutaki afikie kwako?Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Itakuwa jamaa analalaga kwenye maboksiKwanini hutaki afikie kwako?
Ukijibiwa niiteKwanini hutaki afikie kwako?
Umekamia mno.Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Mkuu,mimi naona mleta mada ni KE au ni ME?Itakuwa jamaa analalaga kwenye maboksi
mwenyewe nimeona kama ni Ke me au ndo sikusoma mwandikoMkuu,mimi naona mleta mada ni KE au ni ME?
Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Niite andazi niko paleUkijibiwa niite