Jamani, huwa mnapumzika wapi mkiwa Dar?

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.

Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.

Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
 
Karibu chimbo, hautajuta.
EKAY BAHARI BEACH VILLA
0622 411 148
 
Wewe utakuwa Masai, hauna nyumba wala ghetto, hauna pa kumpeleka..

anyway, mweleze tu ukweli kuwa akija mtakesha nae kwenye lindo
 
Mweleze hali halisi tu huna pa kumuweka atafute pa kulala mapema ila Usimzimie simu tu Mgeni,afike aanze kukutafuta,aangaike bure

Maana watu wa Dar ndio tabia za kuwakimbia wageni na kujifanya tupo bize🫢,kumbe hatuna pa kuwakaribisha
 
Kwanini hutaki afikie kwako?
 
Umekamia mno.

Punguza la sivyo viuno viwili tu chalii.
 

Tumia Airbnb app, kuna msururu wa bnbs unafanya kuchagua tu eneo unataka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…