Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

yap...futa kabisa na namba zake kudadeki, au kama hufuti, fresh, ipo siku atakwama, hao wanapenda slop, atakumbuka kuna ki jamaa kimekolea sa akikutext tu, cjui wangu vipi? unamjibu tu WEWE NANI? BABA SWALEHE? akirudi huyo atakuwa ni YALAMA
Asante kwa ushauri kaka. Tatizo nashindwa kumsahau
 
mkuu huyu hata sim hapokei
 
Jiandae kwa kibomu amekusokota umesokoteka huyo ni tapeli mkuu take care
 
Nipe namba yake mkuu
Nitakupa mrejesho baada ya kuvuna nitakachokipanda
 
Unataka kunihujumu wewe
Nope sina nia mbaya ila ulivyosema ni chotara flani la kiarabu

Jua waarab mara nyingi hawakubali kuolewa na ngozi nyeusi

Nawapenda sana Waarab
 
Nope sina nia mbaya ila ulivyosema ni chotara flani la kiarabu

Jua waarab mara nyingi hawakubali kuolewa na ngozi nyeusi

Nawapenda sana Waarab
Kaka huyu sio mwarabu ila ana asili flani hivi ya kiarabu ana weupe kidogo na macho meusiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…