Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

Jamani huyu msichana mie simuelewi. Naombeni ushauri

Unaweza kuta hapo kawataka wote, afu kuna jamaa anakula kakuzidi mipango, man kama unataka wa kusuuzia rungu Rungu shuka Kaumba pale unanjunja unaendelea na maisha mengine, mm siwezi fukuzia uterezi kama nafukuzia pepo
Unanishauri nimpotezee?
 
Hyo nazuga namtumia hela kwa baht mbaya then mengneyo unatuachia sisi
 
Me wakat nipo chuo nilikua na rafki mmoja wakike, bonge la toto, jeupee (picha siweki). Sasa nina rafikiangu wakiume ambae alikua amemuelewa sana yule mtoto, tatzo huyu njemba ni zile sura zakulazimishia watoto walale (Nimesema picha siweki) rangi ni nyeuc kiac kwamba akibeba mtoto mtoto analala akidhani usiku umeingia(by mc pili pili)
Sasa yule bint akawa anapenda kumtania yule rafk angu kwa vijimambo kama hivyo vya nimekumiss, nenda kwetu rombo katoe mahali, ooh me napendaga wasukuma, oohh mtu mweus kama ww inabd uoe mtu mweupe kama mimi.
Kumbe anamuenjoy tuu, jamaa alikuja kufunguka akatoswa ila ule utani ulibaki pale pale.

Japo simaanishi kua sura ndo kigezo ila umeniogopesha uliposema wote uliotongoza walikutosa, so weka picha, yako na ya binti.
 
sio kwa utani kama ule mkuu
Tuma muamala mkuu utaona jinsi atakavyoshoboka.
Ila inaelekea una sound za movie za kihindi, msg ndefu za mashairi ila la maana hakuna. Maana kama unaweza kutuma msgs ambazo hazijibiwi basi ni dhahiri wewe unaangalia sana series za kikorea.
Achana nae huyo atakuumiza kichwa tu, tafuta aliye karibu na wewe maisha yaendelee.
 
Huyo ni mjuzi wa kuwasha moto aone ni upi utachukua muda kuzima. Jiulize, Je, weye ndo handsome kuliko wote pale ofisini?? Kwa nini hakuna mwingine aluye thubutu kujimwaga ka weye??
Kaka, alikuamsha mdadi akakuacha ukijiminyaminya tu. Huyo bado hajafikia wakati wa hayo mapenzi. Aweza kuwa ana malengo ya mbaali usimpoteze njiani.
Wewe una malengo gani?? Yeye anayo malengo. Msichana mwenye malengo huwa ana focus mbele zaidi ya pua yake tu. Mwache atulie. Kama anakumind hata kwa kope za macho tu, wewe tulia jifanye huna shida na yeye. Akiona kimya atakutafuta. Siku akikupigia usifanye haraka kumjibu. Mwambie nipo bize nipigie baadaye.
Additional: usimpapatikie sana mkuu, usijitose asilimia mia coz kuna kupata na kukosa pia daah method yako kama local vile eniwei endelea kupambana
 
Unanishauri nimpotezee?
yap...futa kabisa na namba zake kudadeki, au kama hufuti, fresh, ipo siku atakwama, hao wanapenda slop, atakumbuka kuna ki jamaa kimekolea sa akikutext tu, cjui wangu vipi? unamjibu tu WEWE NANI? BABA SWALEHE? akirudi huyo atakuwa ni YALAMA
 
Huyo ni mjuzi wa kuwasha moto aone ni upi utachukua muda kuzima. Jiulize, Je, weye ndo handsome kuliko wote pale ofisini?? Kwa nini hakuna mwingine aluye thubutu kujimwaga ka weye??
Kaka, alikuamsha mdadi akakuacha ukijiminyaminya tu. Huyo bado hajafikia wakati wa hayo mapenzi. Aweza kuwa ana malengo ya mbaali usimpoteze njiani.
Wewe una malengo gani?? Yeye anayo malengo. Msichana mwenye malengo huwa ana focus mbele zaidi ya pua yake tu. Mwache atulie. Kama anakumind hata kwa kope za macho tu, wewe tulia jifanye huna shida na yeye. Akiona kimya atakutafuta. Siku akikupigia usifanye haraka kumjibu. Mwambie nipo bize nipigie baadaye.
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Hao ndio walivyo, MADEM WANAPENDWA KUTONGOZWA, DEMU ANAPOTONGOZWA ANAJISKIA FARAJA SANA, UNAKUTA ANATONGOZWA ATA NA TEJA TU ILA ANAJISKIA FAHARI, HIO NI KITU CHA KAWAIDA KWAO, KWA MFANO ANGALIA INSTAGRAM KWA SIKU WANAPOST PICHA MARA NGAPI HUKU WAKISEMA WAKO SINGLE, COZ WANATAKA WATU WA KUWATONGOZA ILI WAJISKIE RAHA TU HAIJAALISHI WAMEKUKUBALIA, WANAKUZUNGUUSHA AU WANAKUKATALIA BUT LENGO LAO KUU NI KUTONGOZWA
 
Me wakat nipo chuo nilikua na rafki mmoja wakike, bonge la toto, jeupee (picha siweki). Sasa nina rafikiangu wakiume ambae alikua amemuelewa sana yule mtoto, tatzo huyu njemba ni zile sura zakulazimishia watoto walale (Nimesema picha siweki) rangi ni nyeuc kiac kwamba akibeba mtoto mtoto analala akidhani usiku umeingia(by mc pili pili)
Sasa yule bint akawa anapenda kumtania yule rafk angu kwa vijimambo kama hivyo vya nimekumiss, nenda kwetu rombo katoe mahali, ooh me napendaga wasukuma, oohh mtu mweus kama ww inabd uoe mtu mweupe kama mimi.
Kumbe anamuenjoy tuu, jamaa alikuja kufunguka akatoswa ila ule utani ulibaki pale pale.

Japo simaanishi kua sura ndo kigezo ila umeniogopesha uliposema wote uliotongoza walikutosa, so weka picha, yako na ya binti.
Dah! Siaminigi kama alikuwa anatania
 
chunguza vizuri kwenye simu yake kakusevu “kisirani”.

Pesa, umaarufu,handsome

kama wewe ni non of the above tafuta tu beki tatu ndugu angu [emoji23]
 
Tuma muamala mkuu utaona jinsi atakavyoshoboka.
Ila inaelekea una sound za movie za kihindi, msg ndefu za mashairi ila la maana hakuna. Maana kama unaweza kutuma msgs ambazo hazijibiwi basi ni dhahiri wewe unaangalia sana series za kikorea.
Achana nae huyo atakuumiza kichwa tu, tafuta aliye karibu na wewe maisha yaendelee.
Mi sijawahi mtumia sms ndefu. Sms nazomtumia ni 'mambo vipi'
 
Back
Top Bottom