Jamani huyu yupo wapi??

Jamani huyu yupo wapi??

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Huyu jamaa venga wa Ze comedy kaendaga wapi bada yakuumwa ??
 

Attachments

  • Screenshot_20240613_134306_Facebook.jpg
    Screenshot_20240613_134306_Facebook.jpg
    161.7 KB · Views: 10
Nimecopy reply moja ya tramadol

Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.

Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.

Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.

Ila inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom