DOKEZO Jamani jamani kunguni ndani ya MV Victoria zitatuua

DOKEZO Jamani jamani kunguni ndani ya MV Victoria zitatuua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

lutajangurwa

Senior Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
126
Reaction score
172
Mara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yetu pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.

Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.

Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.
 
Mara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yet pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.

Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.

Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.
Mv victoria ni kwa ajili ya kusafirisha ndiizi....siku nyingine upande ndege
 
Mv victoria ni kwa ajili ya kusafirisha ndiizi....siku nyingine upande ndege
Wasema kweli! Unanifanya nimkumbuke baba wa Wanyonge. Usafiri huu wa meli aliuzindua kwa ajili yet na mizigo.
20221108_070738.jpg
 
Mara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yet pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.

Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.

Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.
Iwe bhojo.
Na kunguni tena ?!. Ni wadudu visirani sana.
 
Ile meli chafu kupitiliza, niliipanda mara moja kwa sababu nililazimika. Kumsindikiza shoga yangu msibani, shoga yangu alikuwa ana mtoto akapewa kule kitanda si ndo nikaenda kuona alipo lala? Nusu nitapike, nilikuta wanawake wenye watoto joto kali harufu mbaya, nusu nifie huko.
Nilimchukuwa mtoto nikamwambia huwezi lala huku nifate, ndo tukaenda kule ground kuna siti wazi na ni pa baridi.

Tulichelewa hivyo vitanda wanaita first class vilikuwa vimeisha, hatukuwa na namna. Kule vyooni kuna harufu mbaya mbayaaaaaa yesu wangu, nilifika mlangoni kwenda haja ndogo nilishindwa kuingia, nilisema kama ningekuwa mwanaume basi ningekojoa majini, nilibana mkojo mpaka nafika.

Kule hotelini sehemu ya chakula ndo panavutia, so masaa mengi nilikaa kule mara nilie chakula mara chai kuvuta muda.ila kuna muda wanafunga.

Kuna mmoja analalaga hivyo vyumba first clasi alinambia kunguni ziko pale pale.mbaya zaidi hata ulale first clasi, vyoo ni vile vile lazima ushike chini ukutane na hiyo harufu.
Kwa uchafu wa mule ndani bila fumigation kunguni watazalia na vitukuu.

Mimi naona wanaokunywa pombe atleast ndo ukaa kule bar ni kusafi so unapiga pombe zako muda unasogea.
 
Mara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yet pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.

Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.

Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.
Kunguni, papasi, mende na viroboto ni dalili ya uchafu, uongozi haujalipa kipaumbele swala la usafi na pengine hata dawa ya kuua wadudu bajeti yake inaliwa
 
Ile meli chafu kupitiliza, niliipanda mara moja kwa sababu nililazimika. Kumsindikiza shoga yangu msibani, shoga yangu alikuwa ana mtoto akapewa kule kitanda si ndo nikaenda kuona alipo lala? Nusu nitapike, nilikuta wanawake wenye watoto joto kali harufu mbaya, nusu nifie huko.
Nilimchukuwa mtoto nikamwambia huwezi lala huku nifate, ndo tukaenda kule ground kuna siti wazi na ni pa baridi.

Tulichelewa hivyo vitanda wanaita first class vilikuwa vimeisha, hatukuwa na namna. Kule vyooni kuna harufu mbaya mbayaaaaaa yesu wangu, nilifika mlangoni kwenda haja ndogo nilishindwa kuingia, nilisema kama ningekuwa mwanaume basi ningekojoa majini, nilibana mkojo mpaka nafika.

Kule hotelini sehemu ya chakula ndo panavutia, so masaa mengi nilikaa kule mara nilie chakula mara chai kuvuta muda.ila kuna muda wanafunga.

Kuna mmoja analalaga hivyo vyumba first clasi alinambia kunguni ziko pale pale.mbaya zaidi hata ulale first clasi, vyoo ni vile vile lazima ushike chini ukutane na hiyo harufu.
Kwa uchafu wa mule ndani bila fumigation kunguni watazalia na vitukuu.

Mimi naona wanaokunywa pombe atleast ndo ukaa kule bar ni kusafi so unapiga pombe zako muda unasogea.
MTU mweusi hajawahi kujitawala na kuji manage tangu enzi na enzi!

Mweusi hakupaswa hata kupewa Uhuru , kama Una Meli na watu wanatozwa hela ya Nauli unashindwa vipi kutoa huduma Bora ? Tukiitwa watu weusi ni manyani tunajwazika
 
Back
Top Bottom