Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKo serious au utani tuu? yaani swala la uchafu kwenye meli waziri awasaidie? meneja wa MV victoria na wasaidizi wake vipi? kuna wakurugenzi wa shirika linalomiliki hiyo meli wanaweza kumwajibisha huyo meneja wa MV victoria naona tuanzie hapoKwani mawaziri na manaibu wao wana kazi gani? Si ndiyo hizi za kushughulika na kunguni.
Hii sio kweli boss, kuna dawa za kuua kunguni 100%Hata wafanyeje hawawezi , kunguni wakiingia hawana dawa , solutions ni dawa + abandon , kitu ambacho ni impossible mana meli lazima ipige kazi , lazima mazalia yataendelea kuwepo
Tatizo huyo ni msukuma, sio mhaya....Mv victoria ni kwa ajili ya kusafirisha ndiizi....siku nyingine upande ndege
Hawa wadudu hawasikiagi hata dawa. Kutoka mpaka waamue wenyeweKunguni wakishaingia kuwatoa sio kazi rahs kama unavyofkria,...
MSCL=Marine Services Company limited. Kamouni ya Huduma za MeliHivi meli zetu zipo chini yq TEMESA au bodi gani inazisimamia?
Wakaguzi wafutwe kazi
Wahudumu wapewe ngalawa wakavue samaki
Serikali iajiri watu wanaojua wajibu wao
Tutajie Mkuu.Hii sio kweli boss, kuna dawa za kuua kunguni 100%
Ukifuatilia kwa undani utakuta kuna upigaji wa pesa za ukarabati na usafi.MSCL=Marine Services Company limited. Kamouni ya Huduma za Meli
Kabisa. Na bei zao zimechangamka sana.Ukifuatilia kwa undani utakuta kuna upigaji wa pesa za ukarabati na usafi.
Msimamizi wa meli hiyo anapaswa kuwajibika. Meli haisafirishi bure abiria na mizigo, wanashindwa kuihudumia na itakuja kuchakaa soon
Hiyo hali ya Mv Vicky kukosa matunzo ni sawa na vile vivuko pale fery ya Dar.Kabisa. Na bei zao zimechangamka sana.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Sijui tutajifunza lini kuwa serious.Hiyo hali ya Mv Vicky kukosa matunzo ni sawa na vile vivuko pale fery ya Dar.
Sasa hivi vinatembea viuno vimepinda. Vikija kupiga sarakasi wale wavuvi pale watageuka mashujaa wa uokoaji
hili swala kunguni sio huko kanda ya ziwa tu hata huku kwenye boat kadhaa upande wa pwani swala la kunguni bado lipo na ni mtihani mkubwa tuMara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yetu pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.
Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.
Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.
Tangu MV Bukoba ilipoua wapendwa wetu, tulichojifunza ni kujikita kwenye kukamata Dola dhidi ya wananchi ndo maana hao wapinzani wanapotaka kufanya mikutano yao halali kisheria wanaambiwa hakuna ulinzi lakini wakikusanyika wanapelekewa idadi kubwa ya walinzi wa kuwapiga.🤣 🤣 🤣 🤣 🤣. Sijui tutajifunza lini kuwa serious.