Hata wafanyeje hawawezi , kunguni wakiingia hawana dawa , solutions ni dawa + abandon , kitu ambacho ni impossible mana meli lazima ipige kazi , lazima mazalia yataendelea kuwepoUna maana hata Serikali wamejaribu wakashindwa?
Hivi meli zetu zipo chini yq TEMESA au bodi gani inazisimamia?Mara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yet pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.
Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.
Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.
Iwe bojoooooMv victoria ni kwa ajili ya kusafirisha ndiizi....siku nyingine upande ndege
MTU mweusi hajawahi kujitawala na kuji manage tangu enzi na enzi!
Mweusi hakupaswa hata kupewa Uhuru , kama Una Meli na watu wanatozwa hela ya Nauli unashindwa vipi kutoa huduma Bora ? Tukiitwa watu weusi ni manyani tunajwazika
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
MTU mweusi ni cursed race
Tanzania nchi yangu.....ohoooo, ohoooo, ohooooooo my god
kwa hiyo kunguni wakiingia nyumbani kwako uta abandon nyumba yako?Hata wafanyeje hawawezi , kunguni wakiingia hawana dawa , solutions ni dawa + abandon , kitu ambacho ni impossible mana meli lazima ipige kazi , lazima mazalia yataendelea kuwepo
Nyinyi mnachoweza ni wizi....ungekuwa karibu ningekuweka kibao cha mgongo, acha wiziSasa kama kunguni tu wanatushinda kufanya fumigation na kuwamaliza , sisi tunaweza nini hasa? hivi kwenye masuala nyeti kama ya usalama na uimara wa hiyo meli tutakuwa serious kweli? halafu ikitokea ajali hapa mnaanza kuunda tume za kuendelea kula hela , ni upuuzi sana hii ngozi yetu nyeusi , kwa ufupi tuna matatizo mengi sana ya kiufundi upstairs
Natamani mbunge wangu Kanyasu Msukuma (PhD), msomi wa heshima, mfalme wa wabunge wa Kanda ya Ziwa, angelijua hili. Namuaminia kwa kupiga mbinja. Hanaga utani.Hivi meli zetu zipo chini yq TEMESA au bodi gani inazisimamia?
Wakaguzi wafutwe kazi
Wahudumu wapewe ngalawa wakavue samaki
Serikali iajiri watu wanaojua wajibu wao
huna akili we mbwiga hata yaliyotokea bukoba hujui , namaanisha mambo madogo yanatushinda je makubwa tutayaweza? usikurupukie nyuzi za kiume utaaibikaNyinyi mnachoweza ni wizi....ungekuwa karibu ningekuweka kibao cha mgongo, acha wizi
Najiuliza endapo meli hiyo inatumiwa mpaka na wataliiNatamani mbunge wangu Kanyasu Msukuma (PhD), msomi wa heshima, mfalme wa wabunge wa Kanda ya Ziwa, angelijua hili. Namuaminia kwa kupiga mbinja. Hanaga utani.
Mwenye kujuana naye tafadhali amfoadie. Tunateseka
Amejaribu kuelezea solution ya kuangamiza kunguni. Unatakiwa upige dawa halaf u-abandon eneo for at least 3 days.kwa hiyo kunguni wakiingia nyumbani kwako uta abandon nyumba yako?
Achana na Meli panda ndege ya Precision AirMara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yetu pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.
Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.
Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.
Kwani mawaziri na manaibu wao wana kazi gani? Si ndiyo hizi za kushughulika na kunguni.Yaani kunguni tuu mnaomba waziri aingilie/awasaidie? kwa akili hiyo acha mliwe na kunguni tuu
Watanzania sisi ni wazembe sana,nilikuwa napenda ile tabia aliyoianzisha mwamba ya kuvamia kwa ghafla kwenye taasisi,ilikuwa kwa kiwango flani inasaidida watu kujitambua,ila ni kwanini tusubiri mpaka Raisi aje kwenye maeneo kama hayo wakati kuna rundo la viongozi wengine chini yake...Kunguni, papasi, mende na viroboto ni dalili ya uchafu, uongozi haujalipa kipaumbele swala la usafi na pengine hata dawa ya kuua wadudu bajeti yake inaliwa
Pole kwani umebeba wengine umewapeleka nyumbani,jitahid kufanya usafi na dawa za kuulia wadudu mara Kwa maraMara ya kwanza nilipoandika uzi kuhusu kunguni katika meli yetu pendwa ya MV Victoria, ulifutwa mara moja.
Naomba admin mjue sisi abiria ndo tunaumia. Wingi wa kunguni hata Jela haifui dafu. Jamani wahusika tusaidieni. Najua mnamtafutia mama lawama, lakini kwa hili hahusiki.
Meli imekuwa mazalio ya kunguni na viroboto. Sasa abiria tunajiuliza, ni uzembe au ni ile tu watu kuwa irresponsible? Wahusika, waziri wetu wa uchukuzi, ingilia hili jambo.