Lonely heart
Member
- Oct 21, 2011
- 46
- 20
Habarini wapendwa wana jf, jamani naombeni mnifundishe mbinu za aina yyt nitakazotumia kumshkisha adabu mana kazidi,
1. MMBEA yani akiskia kitu atakitangaza kila mtaa
2. ANAJISKIA na ANADHARAU sn huyu kaka ymg hakua na haka katabia lkn kapata vijisent kidogo anatudhau ndugu zk ile mbaya
3. kilichoniuma kuliko vyote ni nilipokosana na MUME WNG MAMBO YA KAWIDA tu, alipojua tu akaanza KUMCHOCHEA MUME WANGU ANIFUKZE, kitendo hiki kimenikera sana tena sana.
PLEASE! PLEASE! NAOMBENI MNIPE MBINU ZA KISASA KUMKOMESHA.
1. MMBEA yani akiskia kitu atakitangaza kila mtaa
2. ANAJISKIA na ANADHARAU sn huyu kaka ymg hakua na haka katabia lkn kapata vijisent kidogo anatudhau ndugu zk ile mbaya
3. kilichoniuma kuliko vyote ni nilipokosana na MUME WNG MAMBO YA KAWIDA tu, alipojua tu akaanza KUMCHOCHEA MUME WANGU ANIFUKZE, kitendo hiki kimenikera sana tena sana.
PLEASE! PLEASE! NAOMBENI MNIPE MBINU ZA KISASA KUMKOMESHA.