masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 784
Aliyetoa taarifa ya 15 machi Ni Sagini Katibu Mkuu TAMISEMI. Na si Majaliwa KassimK.Majaliwa hakika mwenyezi Mungu atakulaani kama hizo post hazitatoka kesho tr 15.Ujumbe huu ukifikie popote pale ulipo.
Jaman naombeni kama post zikitoka kesho tusaidiane kuweka mafaili ya pdf humu jukwaani mana wengine hatutumii computer na simu tunazotumia hazina uwezo wa kufungua mafaili ya pdf..ahsanteni!
huyu ni mwalimu kweli?
ndio maana mnakandamizwa walimu wa siku hizi...!!!
kijana sijui umelishwa matango pori?
Kweli mzee mi mwenyewe nshajua nilikotupwa
Daah TAMISEMI wabaya jaman wamenitupa pasipofaaa'
Heeehee! Miye wa hapahapa! Haendi mtu sitimbi!!
nishafanya unoko utupwe Makangarawe
Kweli ata mimi nimeona
kwahiyo mnachofanya ni kuringishia au kukomoa wenzenu ambao hawana "baba zao wadogo" au?