mwalimu wenu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 203
- 19
Yeah,tuvute subira
Ebhana nomekesha hapa mijicho haitak hata kufunguka halafu na majina ndo ivo jmn hii balaa
Nafikiri kama leo itapita it's better kila mwalimu akachukua maamuzi magumu ili maisha yaendelee
Aaaaaah.....tovuti zoooote n holaaaaaa
Nipo ofisini kwa k.majaliwa maana nimechoka wrong wrong zake ambaye yupo tayari aje tuungane.
Lakin mbona wanadai redio one wamesema n Leo?