mwalimu wenu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 203
- 19
Natamani ninywe pilton kadhaa nilala mpaka hiyo time ndipo niamke na kuyakuta.
Nataman kuamka ila naona tabu itabid nilale kwa hasira had nikisikia wameshaweka ndo naamka
ninafurahi sana kuona ualimu sasa unathamani kubwa.., chezea TGTS wewe..,,
Majina mbona tunayo mapema tu, ila kuna baadhi ya vyuo watu watalia hakuna majina yao kabisa, majanga