Jamani kama kawaida ya fununu za ajira za walimu wapya

Jamani kama kawaida ya fununu za ajira za walimu wapya

Status
Not open for further replies.

Mohath

Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
7
Reaction score
1
Walimu wenzangu tukae mkao wa kula mda si mrefu mambo yatakua poa, ila nashauri tupige kazi kozi tuna dhima kubwa sana kwa Allah{sw} muumba.hii ni kutokana kuwa ualimu ulianzia kwa mitume wetu.
:A S thumbs_up:
 
Hellllllooooooooooowwwwwwwwwwwwwwww!waalimu wenzangu tukae mkao wa kula mmda c mre fu,ma mb o ya taku a poa,ila n ashau ri 2p ige kaz kozi t una dhima ku bwa sana kwa Allah{sw} muumba.hii ni kuto kana kuw a ualim u uli anzia kwa mitu me we2 Adam had Muhammad! a u c o.
:A S thumbs_up:

Rekebisha uandishi wako ndugu yangu Mwalimu Mohath , usituweke mashakani tafadhali !
 
Last edited by a moderator:
Hellllllooooooooooowwwwwwwwwwwwwwww!waalimu wenzangu tukae mkao wa kula mmda c mre fu,ma mb o ya taku a poa,ila n ashau ri 2p ige kaz kozi t una dhima ku bwa sana kwa Allah{sw} muumba.hii ni kuto kana kuw a ualim u uli anzia kwa mitu me we2 Adam had Muhammad! a u c o.
:A S thumbs_up:

kazi ipo!!!
 
uwii walimu tuna kaz mwaka huu hv na wewe mtoa mada ni mwalimu? au mwalimu wa madrasa?
 
Ujinga mtupu..we ni mwalimu wa ngumbaru au?
 
Duuh..!wewe ni mwalimu level ipi?
Degree?
Diploma?
Certificate?
Mkuu
 
Hili halijtambui ilimradi limepost kitu kakojoe ukalale
 
Walimu kwa namna hii watoto wetu watazidi kufeli tu
 
Ile sifa ya JF kuwa ni eneo la watu wenye upeo mkubwa wa kufikiria nahisi kama unapotea hivi, maana post zingine ukizisoma hazina mashiko kabisa na hawa sasa wanaonza midahalo ya kidini humu ndo wanazid kuchafua eneo, maana nahofia watatukanwa na kukashifiwa wasiohusika.Ushauri wangu tujadili masuala yanayohusu elimu kuhusu dini ni bora kila mtu abakie na anachokiamin.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom