nyali ni atareee...akram hotel sheedah
Nimefika mara moja nimeipenda mombasa, dinner ndani ya mtumbwi baharini na muziki acha kabisa!
Mombasa ni mji mzuri ila unaharibiwa na hawa watu wa kuja akina marehemu Makaburi na dini yao,waafrika na watu wa asili wa hapo hawana matatizo ,matatizo yanaletwa na waarabu na wasomali ambao wameiteka Mombasa kwa kuwa na pesa kutoka kwa hao Al Shababu na kuuza sembe,waswahili wamebaki raia wa daraja la tatu.
Nipe habari kuhusu akram nikienda niweze kufika hapo mkuu,shombi shombi zinapatikana?nyali ni atareee...akram hotel sheedah
hao wote tayari washaandaliwa toka wapo tumboni[emoji12] [emoji12]Hawa wote wako sokoni?
Mkuu kweli kabisa akina Makaburi na Rogo ndio walioiharibu Mombasa. Mombasa sasa hivi hapafai.Mombasa ni mji mzuri ila unaharibiwa na hawa watu wa kuja akina marehemu Makaburi na dini yao,waafrika na watu wa asili wa hapo hawana matatizo ,matatizo yanaletwa na waarabu na wasomali ambao wameiteka Mombasa kwa kuwa na pesa kutoka kwa hao Al Shababu na kuuza sembe,waswahili wamebaki raia wa daraja la tatu.
Si pazuri kwa mustakabari wa maisha yako
Wazee wa zamani walikuwa wakipaita "Mambo sasa" na ndio asili ya neno Mombasa
Mkuu unaogopa kufirwa nini..?!Mombasa sipapendi sababu ya ubasha
Kaka walikufira nini...!Mombasa siendi tena
We mwarabu?Mombasa kutamu sana....
Poa we baki hapo tu mchana unashindia magimbi, usiku unakula makande asubuhi unakula makopa![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87]Nitabaki tu hapa Kibera. Lakini Mombasa siendi tena
Sio kweli ni jina lililoletwa na Vasco da Gama....Mombaca