Jamani karibuni Mombasa!

Hao ni wasomali sio wakenya. Acheni kutumia sura za warembo wa kisomali kuvutia watalii.
 
Bwege!!..... wasomali ni kabila ndani ya Kenya , tena ndio 7th largest at 5 million....rudi darasani !

kelb wahed!
Na somalia ndio kuna wakikuyu, waluo na wakalenjin hahaha! Baada ya kuambiwa kwamba nchi yenu ndio yenye wanawake wasio na mvuto mmeamua kudanganya watu kwamba wasomali ni wakenya.
 
Na somalia ndio kuna wakikuyu, waluo na wakalenjin hahaha! Baada ya kuambiwa kwamba nchi yenu ndio yenye wanawake wasio na mvuto mmeamua kudanganya watu kwamba wasomali ni wakenya.

STop quoting me with your stupidity!....mods can ban me if they wish!.....sina haja ya kujibizana na watu kama wewe...karejee darasani.
Good bye!
 
Kweli kuna wakenya wasomali na wanaeneo kubwa tu.ila hao ni wabajuni nao ni wakenya ambao anaishi coast
 
STop quoting me with your stupidity!....mods can ban me if they wish!.....sina haja ya kujibizana na watu kama wewe...karejee darasani.
Good bye!
Mwelimishe tu,kwani inaonekana hafahamu kama kuna wasomali wakenya vile vile, hasa kule Wajir,ni kama vile kuna wamasai wa kenya na wamasai wa Tanzania,na pia kuna wajaluo wa kenya na wajaluo wa tz,ni suala la elimu tu,huyo anaonekana anatakiwa aelimishwe usikasirike nae.
 

Ahsante!kaka!

Nishampotezea!
 
Mwezi uliopita nilikuwa mombasa, mambo ndani ya tamasha la mishkaki[emoji2] [emoji2]
 
Eid 2016[emoji60] [emoji60] [emoji312] [emoji312] [emoji561] [emoji561]
 
Totoz ndan ya mombasaaa
[emoji2] - ﺍﻟﻠﻪ ﻳﺒﺎﺭﻙ ﺧﻠﻖ‏ alllah yubaruk khalaq
 

Attachments

  • 1472921343220.jpg
    28.5 KB · Views: 195
  • 1472921406820.jpg
    48.9 KB · Views: 168
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…