Jamani Kibamia kitamu Asikwambie Mtu

Picha kwa hisani ya #team weka picha!
 

Attachments

  • 1399751474555.jpg
    5.7 KB · Views: 515
  • 1399751507786.jpg
    9.7 KB · Views: 515
Wakat unakula unakaa mikao gani mpk inakuwa tamu namna hyo?
 

mnyamwezi wa igunga wewe
 
Eeehh!! Tumethubutu, tumeweza, tunakula bamia sredini.
 
Ungesema, kwako wewe Bamia ndio inayokufaa! Nasema hivyo kwa sababu kuna wenzio Biologically hawawezi kukidhi kiu zao na kujisikia wako peponi bila hogo la jang'ombe, kama nadanganya wanawake mnitupie mawe hapa hapa! Us humans differ in our physiological compatibilities!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…