Ulivyocheka tu hmmmm...na hiyo akhuuuu....lol
Uzuri wangu, I always keep my mouth shut.
Hakuna Confesion zaidi ya hiyo...
:shut-mouth:
Uzuri wangu, I always keep my mouth shut.
Hakuna Confesion zaidi ya hiyo...
:shut-mouth:
hivi ulikua ni wewe?
Kukunanazi??#not getting it#lol
Enjoy mwaya...Kweli tupo tofauti..i like denda after katoka chumvini!!yani-its pure bliss..#takes deep breath..then exhaales#
te amo kongosho
Ni moyo, kwa kizungu lakini
Nakumbuka kongosho nilisoma darasa la nne mwaka 1991
@ Eiyer and Heart
Nidadavulieni
Mlisoma la nne 1991 mna maana gani?
kwa hiyo hadi pichu ulionawanashare?..
Nguo zenu zipi hizo.... ? Weka wazi kidogo ni...comment.
Atakuwa alikung'ata kuna mijitu inang'ata utadhani imetumwa,pole mwanakwetu eeee
Khaaa, wewe utakuwa ni mwembamba kama betina na mkeo atakuwa ni mnene kama zena..Mara nyingi wanawake wanakuwa na maumbo makubwa hasa nyonga na makalio, sasa akivaa kale ka nguo kangu na mimi ni mwembamba itakuwaje? Au mimi niki vaa guo lake lile litanikaaje? Labda nilivae kama vest! Lol!
Vibaya mnooooo...ila wengine (wachamungu sana) hawapendi....ila ni balaa majina yote mabaya yanatamkwa halafu jamaa ndo kama gari imepigwa starter..anakanyaga gia mpk numba ya mwisho kabisa..akitoka hapo mdadaa anatafuta feni iko wapi ajipepe kwa raha huko down, maana patakuwa pana waka moto!!!