Mie hapana...denda ya kwanza, chumvini/koni panakuwa pa mwisho, mwisho kabla ya kuhitimisha safari.
Mswaki sishei nae, taulo naeza shea, kufuli inategemea labda kama anavaa bikini na avae ruksa, la kwake halinienei kwangu ni kaptura so ni ngumu kushea...Kuna mtu alishawahi kusema,mapenzi ukitaka kuyafaidi usione kinyaa,unaenda chumvini,unaingiza ulimi kwenye mlango "jalala" yote haya kumfanya mtu wako apate raha,sembuse kufuli,mswaki,taulo na mengineyo?
Koni ni tofauti na chumvi asee! Koni afu denda tena its OK lakini chumvini afu denda tena NO for me, hata kiafya sio sawa!Ha,ha,ha,haaaa!Kama mnazingatia usafi hakuna tatizo,mwaka 1999,niliwahi kuwa na dada mmoja hivi,tukianza mambo yeye anaanza na koni halafu denda,ilikua poa tu!
Mswaki sishei nae, taulo naeza shea, kufuli inategemea labda kama anavaa bikini na avae ruksa, la kwake halinienei kwangu ni kaptura so ni ngumu kushea...
Daaah, mie nimeshindwa kabisa kushea mswaki bana iwe, asubuh, mchana au jion. Kila mmoja atumie wa kwake..Aaaaah!Nakubaliana na wewe kwenye kufuli,ila kwenye mswaki nooo!Kwanini msishee bana,au vinywa vyenu kuoshwa ni asubuhi mpaka asubuhi?
Upuuzi mtupu eti sharing is caring
Daaah, mie nimeshindwa kabisa kushea mswaki bana iwe, asubuh, mchana au jion. Kila mmoja atumie wa kwake..
Koni ni tofauti na chumvi asee! Koni afu denda tena its OK lakini chumvini afu denda tena NO for me, hata kiafya sio sawa!
Hahahhahaa..kwa raha zao wanao-share...!!!!
perfecto King'asti!
Kama mimi mambo ya nyamnyam sitaki hata kuyasikia,sasa tumuulize baErick je ye na maErick wanayapractice?
As for me mswaki ni ngumu, mtu kunilamb huko maeneo pia NOOO, kuvaliana chupi pia hapana. Vingine its OK
Wanadamu tunakufuru sana nyakati hizi, Mungu aliumba kilakitu kwa malengo yake. Huwezi kufananisha tendo la ndoa na kuchangia mswaki aunguo kuvaliana! Maandiko ya kitabu cha dini Fulani yanakataza jinsia Fulani kuvaanguo za jinsia Fulani, tena yanaagiza kwa ukali kwamba na alaaniwe jinsia Fulanikuvaa nguo ya jinsia Fulani!
Tukirudi kwenye suala la tendo la ndoa ambalo liliagizwa kwalengo la kuongeza uzao duniani lakini sisi tukalligeuza la starehe ndipotukaongeza vionjo vya denda, kuzama chumvini, kula koni na hata kutumia mlangomwingine! Eti kwa kisingizo cha kutayarishana sijuhi kuhamasishana nk nk. Haya hayamokabisa katika mtaguso wa kuongeza uzao duniani, ingekuwa hivyo zile mimbazipatikanazo kwa kubakwa zisingekuwepo.
Sasa haya mambo ya nyongeza ndio yanapelekea kuchangia vitukama hivyo vya miswaki, nguo, taulo nk. Ila kuna jambo moja atakayekuwahajakubaliana na mimi afanye utafiti wake binafsi, mambo haya ya kufanya mengizaidi yanapelekea couples nyingi kukinahiana mapema na hivyo kuvunja mahusianomapema!
Yaani wewe hupendi kurambwa? Aiseee
Koni ni tofauti na chumvi asee! Koni afu denda tena its OK lakini chumvini afu denda tena NO for me, hata kiafya sio sawa!
Sio kwamba siitrust ila bana naogopa kuhamisha bakteria wa chumvini na kuwaleta mdomoni, haijalishi nimeifanyia usafi wa aina gani...lol. Sijui bana labda mie mshamba.So u don't trust your own tool?
Hahaha! Labda umwambie NN afafanue zaidi manake yeye ni mwalimu wa koni na chumvi...mie bado mwanafunzi sijajua vema.fafanua jamani siwaelewi yaani unatumia kon na chumvi kwenye mapenzpi!? Hiyo baridi ya kon mpaka iyeyuke na chumvi inavyowasha. Jamani chumvi na sukari ya kon?? Mnanichanganya kabisa! Theteteeeh
Hahaha! Labda umwambie NN afafanue zaidi manake yeye ni mwalimu wa koni na chumvi...mie bado mwanafunzi sijajua vema.