Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Haipo play store,naenda google type " meridian bet tz" utaona pameandikwa download appMbona siioni play store
tangu nianze huu mchezo sujawahi kurudisha hata mia nimefiriska kutokana na huu mchezo wa kubet
Mkuu wewe unaonekana umefuata mkumbo si mdau wa michezo (mpira). Ungekuwa mdau hata usingekuwa unapigwa kila siku.tangu nianze huu mchezo sujawahi kurudisha hata mia nimefiriska kutokana na huu mchezo wa kubet
[emoji3] [emoji3] [emoji3] hatari mkuu!Laki kwa 200 mkuu.?
That means odds zaidi ya 500..?
Haipo play store,naenda google type " meridian bet tz" utaona pameandikwa download app
Sasa Kwann uuze, wakati unauhakika pia wa kupiga hela huko! Au ukimuuliza, afu ye akapiga hela zaidi yako, itakua ni akili au matope!?Mkuu njoo mimi na uza odds za uhakika
Mkuu, kwan usipotumia app na ukabet kwenye website inakuaje!? Faida ya app ni nini!?Haipo play store,naenda google type " meridian bet tz" utaona pameandikwa download app
Inabidi abet kwanza ili apate mtaji wa kuanziaMkuu acha kubet kabisa. Acha sasa hivi. Ni wachache sio zaidi ya 1% wanapata pesa kwenye kubet baada ya mwaka.
Achana kabisa na hayo mambo. Kama unataka kuwa tajiri anzisha duka betting shop like Meridian na hutaweza kuwa maskini kamwe, kama wahindi. Ushauri wa bure. Ni vizuri kuacha kujihusisha na mambo ya betting kabisa.
Nakupenda nakuelewa sana mikeka yako ipo so smart aiseee hongeraMimi nina week ila nimeshamla mhindi 100,000
Nimejifunza kwenu wadau....Nakupenda nakuelewa sana mikeka yako ipo so smart aiseee hongera
Safi sana unakichwa chepesi cha kung'amua jambo aiseeeNimejifunza kwenu wadau....
Sasa hivi najua odd....huwa napenda less than 1.5odd...naangalia home team and away team....naangalia na historia ya team ikiwa home and away and I make decision.....kwa hiyo nachukua muda kusoma,kufanya analysis na kuamua na sifanyi kwa tamaa.Safi sana unakichwa chepesi cha kung'amua jambo aiseee