Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Me too dear. Naona Bishanga anataka kuleta unoko kwa Koku acha watu wajilie vitu shida iko wapi bana??? Bishanga kuwa mpoleeeeeeeeeeeee
Mhabarishe huyo......stage huwa hazirukwi ati!! Lol.......ila na we ndo nini kuwa unapotea potea bila hata kuaga? Muite basi na MJ1 angalau naye aje nimuone!