Jamani kulea mabinti ni kazi, kha!

Jamani kulea mabinti ni kazi, kha!

Me too dear. Naona Bishanga anataka kuleta unoko kwa Koku acha watu wajilie vitu shida iko wapi bana??? Bishanga kuwa mpoleeeeeeeeeeeee

Mhabarishe huyo......stage huwa hazirukwi ati!! Lol.......ila na we ndo nini kuwa unapotea potea bila hata kuaga? Muite basi na MJ1 angalau naye aje nimuone!
 
Mhabarishe huyo......stage huwa hazirukwi ati!! Lol.......ila na we ndo nini kuwa unapotea potea bila hata kuaga? Muite basi na MJ1 angalau naye aje nimuone!


Bwana weee niko Khatoum for three months now network ya kupima huku. MJ1 ngoja nimkong'oli nijue what is not happening
 
Hapa sasa walau umeniaminisha kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kufurahisha baraza!!

Hata mie huwa namweleza Bibi DC kuwa hiyo (blue) ndiyo raha yenyewe ambayo mtu ambaye hakubarikiwa kupata watoto anaikosa.

Ndo maana sijamwelewa mdogo wangu wangu Bishanga kwa nini analia lia!!
Hata jina lake amelikana mwenyewe...Hafai tena kuitwa Bishanga bashaija!!

Babu DC!!
ndi nkuba bishanga abashaija nkanyampila olwazi lwayatika! Ngendelele kwebuga?
 
Bwana weee niko Khatoum for three months now network ya kupima huku. MJ1 ngoja nimkong'oli nijue what is not happening
kwa nini hujaniaga? Hivi na sudan jf inaonekana?aisee!
 
Mhabarishe huyo......stage huwa hazirukwi ati!! Lol.......ila na we ndo nini kuwa unapotea potea bila hata kuaga? Muite basi na MJ1 angalau naye aje nimuone!
kipipi na wewe una support u boko haram?
 
kipipi na wewe una support u boko haram?

Hahahah.....we dingi tulia, mbona unapasuka kichwaaa??? Jiangalie vizuri tu.....miezi michache tu ilopita ulilalamika last born wako pasua kichwa, na sasa hivi tena binti yako......whats wrong with you dude??
 
Mkuki kwa nguruwe......., Bishanga unakumbuka kale kabinti ka mzee Rutakyamirwa ulivyo kuwa unakasumbua mpaka mdingi wake akakaamisha makazi?
 
Bwana weee niko Khatoum for three months now network ya kupima huku. MJ1 ngoja nimkong'oli nijue what is not happening

Kumbe? Ngoja tusubiri Maxence ajitolee kuwawekea antena kubwa huko....ili msisumbuke sana!! Ila Muwage munaaga wajameni....lol!!!
 
Mkuki kwa nguruwe......., Bishanga unakumbuka kale kabinti ka mzee Rutakyamirwa ulivyo kuwa unakasumbua mpaka mdingi wake akakaamisha makazi?

Hahahah......alafu bado na humu jamvini anataka awapokonye wenzie! Bishanga bana........
 
Hahahah......alafu bado na humu jamvini anataka awapokonye wenzie! Bishanga bana........

Mwache ajipe pressure za bure au anataka binti yake atumie dildo. Hujambo bibie lakini
 
Mwache ajipe pressure za bure au anataka binti yake atumie dildo. Hujambo bibie lakini

Hahahah.....umenichekesha kweli, ye aende nae tu taratibu ila akisema afuatilie kila unyayo unapokanyaga, atashindwa aisee! BTW, mi sijambo kabisa, za kifungoni??? Lol
 
Hahahah.....umenichekesha kweli, ye aende nae tu taratibu ila akisema afuatilie kila unyayo unapokanyaga, atashindwa aisee! BTW, mi sijambo kabisa, za kifungoni??? Lol

Kule kifungoni hapafai full kulishwa maharage yenye wadudu, kunguni kibao
 
Back
Top Bottom