Jamani kuna list ya majina tcu,ambao wamechaguliwa zaidi ya chuo kimoja,,,nenda web yao,ucheki,,

KG.KASELO

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
252
Reaction score
20
Jaman kuna list kubwa sana TCU,imetolewa kwa wanafunzi waliomba kupitia tcu,waliochaguliwa zaidi ya chuo kimoja,,kama jina lako limo,inabidi uandikie barua tcu ya kuwajulisha chuo unachotaka kwenda,,,hiyo ni kuazia leo tarehe 28,august,mpaka tarehe 4,september.baada ya hapo,kama ujawajulisha,,,watakupa chuo mojawapo ulivyochaguliwa.barua zote zitumwe kwa njia ya email,,au kwenda physically.thanks wadau:kev:
 
najalib kuyaweka hapa yanazingua wakuu,ngoja nikeep on trying,,,,
 
km cc mkuu cm ze2 hazna uwezo wa pdf, fanya uyapakue bac 2jionee
 
naona weng wao ni wale walio apply kupitia vyuoni moja kwa moja(direct entry,non cas)
 
Majina mengi ni ya wale walioomba Muslim University of Morogoro na vyuo vingine sababu MUM hawaombi via TCU so watu walifanya Double application wakajikuta wanaselectiwa kotekote overr.........!!!!
 
kaz kwako julieth kelvin,cheki,,,,,mazee chekin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…