Jamani kuna utajiri mkubwa wa dhahabu kwenye claim yangu

Naweza kukuunganisha na mtu mwenye excavator, na mnaweza kufikia makubaliano yoyote kati ya hayo uliyoyaainisha lakini tukubaliane makubaliano yoyote utakayoafikiana nae unanirushia Million moja kama kamisheni yangu ya kukuunganisha.
yes you are right we help each other. TENA KWA KWELI KAMA ATAFIKIA MAKUBALIANO MAZURI MIMI NITAMSHAURI AKUPE HATA ZAIDI KWA SABABU UTAKUWA UMEMSAIDIA SANA.
 
Mkuu sina hii kitu ila nahitaji sana kuwa nayo tatizo yana bei sana. Ila kwa shughuli zako za uchimbaji tafuta lile lenye magurudumu linapunguza gharama ya usafirishaji vile linaenda lenyewe. Hayo ya munyororo lazima upate lori la kubebea!

ok, LAKINI NILIPOKWENDA KUWAONA WATU WA MANTRAC WALINISHAURI NICHUKUE LA MNYORORO KWA SABABU NI DURABLE NA LINA NGUVU ZAIDI. LAKINI PIA MWAMBA ULIOPO KWENYE CLAM YETU NI MKUBWA SANA SIO WA KUMALIZA BAADA YA MWEZI AU MIEZI, NI KITU YA KULA MIMI, WATOTO WANGU NA WAJUKUU, MAANA YANGU NI KWAMBA EXCAVATOR IKIISHAFIKA TU PALE SITE BASI HAITOKI TENA NJE YA ENEO LILE. NDIYO MAANA NATAKA NINUE YA KWANGU.
 
nakup ushaur wabure..nend mwendo baruti fikisha hadi mifuko alfu then saga.hapo utakuw nakilo5.hapo utakuwa nagreda yako
 

Mko wawili kwenye hii post? Anyway kununua used sio chini ya $40,000 mkuu.......
 
Aisee, hizi terms za makubaliano umezifikiaje? Chunga sana mkataba utakaoingia nao.

Natamani nikuelezeke kwa consultant, ila sijui kama unaona umuhimu huo.
 
aise kwnn unataka garama za xvetor..mpak unaingia mikataba zakipuuzi..piga moto kusanya nguvu..then ndyo ununue yakwako
 
mm nimenda baadhi ya machmbo watu wanapiga bilion of sh nahawana hzo exvator.namshangaa ndgu angu anavyohangaika.cjui
 
naomba unitumie contact zako kwenye PM nikutafute.

Siyo contacts zangu, zangu za nini? kubali sharti langu hilo moja nikuunganishe hapa hapa, tukubaliane hapa hapa. Commission yangu 1 m kutoka kwako mkiafikiana, na ntahakikisha mnaafikiana.

Cut the BS and confirm here, with all members who pass here as witnesses, and I'll put you thru here, right away.

PM za nini? kwani tunatongozana? wewe uliweka kila kitu wazi hapa, wacha tumalize biashara wazi hapa hapa. Kuna nini cha kuficha kwani tunaibiana hapa?
 
Km mnayo hela kunajamangu hapa anauza ile ya cheni milion260 hakuna dalali...nipm
 
Km mnayo hela kunajamangu hapa anauza ile ya cheni milion260 hakuna dalali...nipm ni cash money
 
kama hutajali niunganishe naye, nitakupa hata 2m mradi tufikie makubaliano mazuri, lakini pia nitakupa tender ya kuweka mgahawa kule site na mambo mengine mazuri nitakayoona yanafaa.
 
Km mnayo hela kunajamangu hapa anauza ile ya cheni milion260 hakuna dalali...nipm ni cash money
wewe mkuu, SOMA VIZURI MADA NA MAELEZO YAKE UYAELEWE NDIYO UZUNGUMZE.
 
Mnayo 120,000,000 niwauzie hii hapa:



Good working condition with 3 months guarantee.
sasa mkuu, MAMBO SI HAYO, NAKUOMBA MKUU WANGU USOME VIZURI KWA UMAKINI MAELEZO YANGU, MIMI NAKUOMBEA KWA MUNGU ILI UWEZE KUELEWA VIZURI MAELEZO HAYO NA USEME NENO MOJA TU NA ROHO YANGU ITAPONA.
 
Ameandika excavator na si grader. Kwanini ubadilishe aliyoyaandika? hiyo ya grader wewe umeitoa wapi?

Nyie ndio mnaofeli shule.

Angalau leo umeandika kdg FF oh no najua sababu ni kwa kuwa hili si jukwa la siasa so nimundue pongezi zangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…