msocrates
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 425
- 93
- Thread starter
- #41
ingekuwa rahisi hivyo mbona sasa hivi tungekuwa na vyombo vyote vinavyotakiwa. Lakini ni wazo zuri ambalo tumekwisha lifanyia kazi na ndiyo maana ukisoma maelezo yangu utagundua kwamba sisi sio masikini kabisa. Tunaelekea huko kama tukikosa nguvu kwa sasa.nakup ushaur wabure..nend mwendo baruti fikisha hadi mifuko alfu then saga.hapo utakuw nakilo5.hapo utakuwa nagreda yako