MTAKATIFU GIOVANI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 342
- 112
yes you are right we help each other. TENA KWA KWELI KAMA ATAFIKIA MAKUBALIANO MAZURI MIMI NITAMSHAURI AKUPE HATA ZAIDI KWA SABABU UTAKUWA UMEMSAIDIA SANA.Naweza kukuunganisha na mtu mwenye excavator, na mnaweza kufikia makubaliano yoyote kati ya hayo uliyoyaainisha lakini tukubaliane makubaliano yoyote utakayoafikiana nae unanirushia Million moja kama kamisheni yangu ya kukuunganisha.
