kwani gram 1 ni kiasi gani sokoni?
Ninayo dhahabu ndio, nauza kwa dola na ni cash, kama unataka tukutane goma-DRC Congo.
Aisee, Kumbe CCM mnaiuza nchi kwa bei ya chini namna hii kwa wageni.
Mtu anakuambia anadhahabu chini ya ardhi wewe unamuomba commission ya milioni moja. FaizaFoxy unaakili kweli wewe?
Acha kuendekeza njaa.
Muambie unamuunganisha alafu anakupa 10 Million upfront alafu upewe na ownership, sema kabisa na percentage hata ya 20% akilalamika lalamika mtaishia hata kwenye 10%
Hau hata hauelewi thamani ya dhahabu mama wa watu??
Mgodi si wake kwani wangu? Million moja unaiona ndogo? labda mwenzetu billionaire wa Arusha.
Bibi Fai u mwepesi sana wa kughafirika mpendwa wetu. Jitahidi uwe na customer centricity approach and KYC hapo utaweza kuhandle mihemko hasi katika suala la biashara!
Btw mkuu msocrates ningependa nijongee karibu nawe, make wahenga walisema ukikaa karibu na muwalidi utanukia uwalidi!
Nakutakia mafanikio mema na makubaliano mazuri na shangazi yetu faizaFoxxy
Acha ubishi mama angu, kuzungumzia milioni moja kwenye dhahabu ni aibu. au ndio maana muheshimiwa aliomba suti. ndo bei zenu hizo sio?
nielekeze tu halafu mimi nitapima mawazo yako, maana kuna watu wengine wametuambia tufungue kampuni, harafu tuombe mkopo benki, ndiyo tununue, kwa hiyo kuna mawazo mengi tu ambayo tumeyapata.Aisee, hizi terms za makubaliano umezifikiaje? Chunga sana mkataba utakaoingia nao.
Natamani nikuelezeke kwa consultant, ila sijui kama unaona umuhimu huo.
Wewe ni punguani kweli kweli, huyo mtu anataka excavator, excavator si yangu, nikimuunganisha nikapata Million yangu ya halali kama commission, nina shkuru AlhamduliLllah.
CCM inahusu nini hapa? nenda kachimbe dhahabu Chunya, nenda ukaone huko kuna chuo kimeanzishwa na Serikali ya CCM kwa wachimbaji wadogo, nenda kaone Watanzania wenzako wanavyochangamkia fursa.
Wewe umebaki kulalama tu humu, huna mbele huna nyuma na wala fursa huzioni na hautoziona.
kama hutajali niunganishe naye, nitakupa hata 2m mradi tufikie makubaliano mazuri, lakini pia nitakupa tender ya kuweka mgahawa kule site na mambo mengine mazuri nitakayoona yanafaa.
Piga simu hiyo niliyokurushia kwenye PM, mwambie huyo mama unapiga kuhusu excavator, kazi kwako. Nnaamini mtaafikiana na nnangoja commission yangu kama ulivyoahidi, ukinizika nnahakikisha hulali kwa raha maisha yako. NNajuwa mgodi wako uko wapi na nnakujuwa wewe ni nani. Usitake kujuwa najuwaje.
sasa mkuu, MAMBO SI HAYO, NAKUOMBA MKUU WANGU USOME VIZURI KWA UMAKINI MAELEZO YANGU, MIMI NAKUOMBEA KWA MUNGU ILI UWEZE KUELEWA VIZURI MAELEZO HAYO NA USEME NENO MOJA TU NA ROHO YANGU ITAPONA.
Kwa mikwara sasa.
Wewe kaa utulie kama unanyolewa, watu tutengeneze millioni mbili tatu kwa masaa machache.
We acha uongo wewe, kipimo cha dhahabu ni ounce, ounce moja ni sawa na gram 28.35, ounce moja kwa sasa haivuki dola 1,700. maana ake gram moja haiwezi kwenda kwa hiyo bei.
nielekeze tu halafu mimi nitapima mawazo yako, maana kuna watu wengine wametuambia tufungue kampuni, harafu tuombe mkopo benki, ndiyo tununue, kwa hiyo kuna mawazo mengi tu ambayo tumeyapata.
mfuko mmoja unatoa gram 4 mpaka 5, mawe tunasaga kwa kutumia bomeri hayo mengine tutajadiliana tukionana.
ok, NASHUKURU NIMEONGEA NAYE, TUTAKUTANA NAYE BAADAYE KWA AJILI YA KUFANYA MAKUBALIANO, KAMA MAMBO YATAENDA VIZURI UTAFURAHI, MUNGU AKUBARIKI SANA.Usijali, chukulia kuwa mambo yako yameshafanikiwa. Ukimaliza kuongea na simu niliyokurushia, nijulishe.
ok, NASHUKURU NIMEONGEA NAYE, TUTAKUTANA NAYE BAADAYE KWA AJILI YA KUFANYA MAKUBALIANO, KAMA MAMBO YATAENDA VIZURI UTAFURAHI, MUNGU AKUBARIKI SANA.
mkuu unachobisha ni nini na unachoandika ni kipi?
if 1 ounce = 28.3gm
and 1 ounce =1700usd
1700/28.3=60usd
1usd=tsh1640
60usdx1640= tsh 98500/=
actually wewe umepata gram 1 ni bei kubwa kuliko bei aliyosema msocrates
FF once deal ikiwa concluded mm usinisahau japo kifurushi cha internet ili niendelee kuienjoy JF.
Usijali, mambo madogo hayo.