FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
kwani gram 1 ni kiasi gani sokoni?
Inategemea uko wapi na ni dhahabu ipi, kuna vikole huko chunya ambavyo vina fetch kati ya 52,000 mpaka 54,000 chunya, vikifika Mbeya 56,000 mpaka 58,000, vikifika Dar 58,000 mpaka 64,000.
Hizi za kusaga na kuunga unga, zina range kama hapo juu less 4,000 per gram.