Jamani kuna wanaume watamu sana

Jamani kuna wanaume watamu sana

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Kuishi na mwanaume anayejua mapenzi huwazi sex kila mara ila unawaza mume wako atarudi saa ngapi akupe utramu wa hali ya juu.

Kuna tofauti ya sex tu na haja zikatimizwa kibabe na ule utamu unajiachia hata nguvu yakushika zana huwezi kisa umezidiwa utram.

Maisha mazuri nikutimiziwa haja zako haswa ila kiutalaam. Kuna wanawake hawajawahi kufikishwa kileleni wao wanapewa tu kimoja viwili bila raha ninayoipata .

Stlye zote zina ujuzi mpaka mkienda kazini unawaza tu nani anampa utramu yaani nyie sio kupewa moto wakuunguza ila niutram unapewa raha ambayo unalizwa kwa utamu woteeee. Hadi raha. Humu mtu anaomba eti apate mtu nahuku nje wamejaa wakaka wanajua kazi zao wanajua kulima na kupalilia shamba lao vizuri.

Nimesema ni wadokeze why sipo humu napewa keki tram za utram za aina zote i love this man anajua shughuli yake.

Ngoja nikalale mie humu hamna nguvu zakiume . Na wala haisimami kwa ujasiri inasimama kwa wasi wasi . Kunyweni maji mengi, na mkalale
 
Yaani huyu yeye kutwa anawaza kunyanduana tu.

Halafu kesho watoto wenu wanataliwa kwa Ujinga wa wazazi wao muanze kulialia wanatawala ukoo wa mwinyie tu. Mtatawaliwa milele na bado. Ngoja tuweke na kodi kwenye kunyanduana tuone
 
Sawa ila wengine wapenzi wetu ndo huyu🇹🇿
FB_IMG_1717863019925.jpg
 
Back
Top Bottom