Jamani kupita pita kote huku sisikii nikitajwa kwa Makonda!!!!

kimpango

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
600
Reaction score
717
nimekaa najiuliza zama za ujana wangu miaka 10 iliyopita nilivyokuwa mungu alini nusuru na magonjwa ili niweze kushuhudia leo wanawake zaidi ya mia waliwahi kuniambia oho nina mimbva yako .lakini sijaitwa mpaka sasa au kutajwa au vile mi sio maarufu kama lowasa ,au mi sio kiongozi wa dini ..msiponitaja mimi nitaamini hilo zoezi bure kabisa
 
Ila umeongea ukweli, maana wanawake ukizoea kula bila ndom,
Hachelewi kusema anamimba yako,
Wanaume tunaanza kulea kuanzia bikra, mimba mpaka mtoto kuzaliwa!
Leo makonda naye anataka kutuongezea mzigo mwingine wa kulea watu wazma!
Huu ni ujinga
Mfano yule mwanamke aliyemtaja lowasa hata kama ni kweli,
Tayari kashajua na kuvua chupi bado anasaka malezi ya baba!! Kweli?
Yule atafte mume sio baba
Msituchoshe
 
Hahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
wewe unakuwa kama humjui bashite!!ile ishu ni kwa ajili ya watu fulani ni ktk harakati za kutafuta kiki..ana watu wake anawatafutia msala si unakumbuka ile ishu ya gwajima na shilawadu??eewaaa ndo dizaini ile sasa,huyo ndo bashite bwana...!!
 
Labda walizitoa mkuu bada ya kuona hawana faida na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…