Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi
Good observation madam, his giving hand ni kama emotions za starter wa mapenzi. Akimpata fundi na asiye mchoyo ni fursa sana hii. Wadada single hii ni fursa.Akikukosa hatampata mwanaume mwingine kama wewe.
Yule jamaa yake(anayempenda) alieachana nae tayari wameshamaliza tofauti zao na wamerudiana, hivyo kwako kilikua ni kipindi cha mpito tu cha kupunguzia maumivu ya kuachwa.miezi kama 2 ila mwezi huu wa kumi ndo mambo yamechange kabisa moja wala mbili haikai
Kwani mkewe huyo hadi ampe kiulaini[emoji1787][emoji1787]
Tatizo lao ukiwapa hela sana upendo unapotea wanakuchukulia kama danga tu siku akiwa na shida atakutafuta, ili kujua ana mapenzi ya dhati inatakiwa uwe na mikausho mikali linapokuja suala la kufungua wallet.nikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake
nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
eti ameshaachwa anawaza aamuachaje, jamani jamanMimi ninachokiona ushaachwa acha kulia lia... Vumilia
Umewahi kumkosea mambo kadhaa huko nyuma labda? AU amewahi kuhisi una mahusiano na Wanawake/ Mwanamke mwingine?Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Kwamba angekuwa Mkewe haina kunyimwaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani mkewe huyo hadi ampe kiulaini[emoji1787][emoji1787]
Miss you sis[emoji8]
Kunyimwa ni kidogo sio sana[emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85]Kwamba angekuwa Mkewe haina kunyimwaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miss you big time Sweetheart..
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeeeeeeee!!!! Shika adabu yako Kijana..Halafu maskini ya Mungu Makiwendo bahati kama anayoipata mwenzio ya kupewa [emoji383][emoji383][emoji383] bila kuomba unakuta hauipati.
Hebu changamkia fursa hio bahati hua hazijileti mara mbili.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kunyimwa ni kidogo sio sana[emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85]