Hivi vitoto humu sijui vimeibukia wapi, vipo vipo tu[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Weeeeeeeee!!!! Shika adabu yako Kijana..
Kuna nini cha kuchangamkia hapo? Pyuuu
Halafu nani alikuambia Makiwendo hiyo bahati hana?Ungejua...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni changamoto kubwa sana hii...Hivi vitoto humu sijui vimeibukia wapi, vipo vipo tu[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Bado hawajawa busy[emoji1787][emoji1787]Ni changamoto kubwa sana hii...
Ni kwamba vyuo havijafunguliwa au ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache kama ulivyo mkuta kabla ya kuanza mahusiano.Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi
Kabisa... Wanatuchosha tu hapa.. WaiiiiiBado hawajawa busy[emoji1787][emoji1787]
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii kauli mimi pia inanishangaza unakuta mtu anaanza "nampenda sana na yeye ananipenda sana " alafu chini yake anaanza kulia kwamba hamuelewi mpenzi wake"kwa kweli nampenda sana na yeye ananipenda sana"
hii kauli huwa siielewi.....kwani wewe aliekwambia huyo anakupenda sana ni nani??
Utapata relaxnikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake
nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
Mzee kupenda kunauma sana, kuna mrembo nipo naye, akianza kunifanyia hvyo nahs ntakua katka hali mbayaHabarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi
Kwani mkewe huyo hadi ampe kiulaini[emoji1787][emoji1787]
Miss you sis[emoji8]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani naye ni mumewe hadi bi mkubwa atege tu mikono kupokea shekeli...
Miss you mkwe [emoji8]