Muache aje umpige na beki atulieSijui kasoma huu uzii ata sielewi naona karudi kwa kasi ya 4g ni maswali ya Pole na kazi mpemzi ,nimekumc sana ,jmosi utakuwa free
Au anataka kunipiga kizinga
Bladfuuuu kalamba chuma xha reli
Natafuta pichs ya pisi kali niweke profile ili ajione kashaachwa
Sea bia tamu
Malizia tu kwakweli.Mkwe huwa hanuniwi buana...unataka nimalizie hasira kwa bintiyo sasa [emoji4]
Nyie mnadhani ni rahisi eehNa wew mpotezee.
1. Kwanza tizama kwa umakini kama kuna makubaliano baina yenu umekuwa unayakiuka. Mf ulimpiga sound kwamba mwaka huu unaenda kwao bibie anaona ulimdanganya.Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Acha undezi jamaa! Hivi unakuwaje na pesa za kuhonga halafu unateseka na mapenzi braza? Hebu ziheshimu baraka ulizopewa na Mungu basi!Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Yani demu miezi miwili kashabadilika? We huyo mwanamke umemuokota wapi au Bar? Hakuwa mwanamke sahihi na wala usijaribu kumganda hata kidogo!miezi kama 2 ila mwezi huu wa kumi ndo mambo yamechange kabisa moja wala mbili haikai
Usimuache ghafla tafuta dem mwingine mkali....Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Hahahahah maboya wanateseka ila wajuba tunaishi π!!!Mnavyojikutaga makomando kwenye keyboard sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anapewa kwa utata bila ushirikiano, signs kuwa hisia hamna aisee! Mkipenda mnatoaga mbususu kwa kiwango cha standard gauge!Kumbe unapewa, sasa unataka nini tena!!
Hivi we mtu ID yako ya zamani ni ipi?πKwani mkewe huyo hadi ampe kiulaini[emoji1787][emoji1787]
Miss you sis[emoji8]
Ila umekuwa mchokozi sana siku hizi MtanijiraniHebu weka sawa hapa...
Hivyo vitu vingi sana vilivyofanyika, vimefanyika ndani ya huo mwezi mmoja na nusu?
Au kwa lugha nyingine, umri wa mahusiano yenu ni mwezi mmoja na nusu tu?
Sasa si ndio ukatafute chaka jingine blaza.....Nikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake
nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
Anausemea moyo wa mtu ambaye hata kupiga simu kwake ni kwa tabu na mateso na bila shaka atakuwa anakasirika kasirika hovyo kila jamaa anapoanza kulia lia πππ!"kwa kweli nampenda sana na yeye ananipenda sana"
hii kauli huwa siielewi.....kwani wewe aliekwambia huyo anakupenda sana ni nani??
Kwamba asitupandishe chati zaidi?Koma na kaa ukijua akili ya kumuacha utaipata humohumo Wala si huku!,sisi hatuna mamlaka na penzi lenu bali mtakapokuwa tayari mtaachana au mtaendelea.
Cha kukushauri Kama kweli unampenda muonyeshe upendo wa dhati Kama haelewi na hathamini unachomuonyesha,stopisha yote unayomtendea yatende kwa uhafifu sana aione tofauti akijirudi nawe rudi asipojirudi ndugu mi sina ushauri mwengine ila tu usijifikirie kujiua tuibebe nchi maana nchi yetu kwa afrika ndo inashika namba moja watu wake kujiua..π€£