Jamani maji yamefika shingoni nimwachaje?

Jamani maji yamefika shingoni nimwachaje?

Sijui kasoma huu uzii ata sielewi naona karudi kwa kasi ya 4g ni maswali ya Pole na kazi mpemzi ,nimekumc sana ,jmosi utakuwa free
Au anataka kunipiga kizinga
Bladfuuuu kalamba chuma xha reli

Natafuta pichs ya pisi kali niweke profile ili ajione kashaachwa

Sea bia tamu
 
Sijui kasoma huu uzii ata sielewi naona karudi kwa kasi ya 4g ni maswali ya Pole na kazi mpemzi ,nimekumc sana ,jmosi utakuwa free
Au anataka kunipiga kizinga
Bladfuuuu kalamba chuma xha reli

Natafuta pichs ya pisi kali niweke profile ili ajione kashaachwa



Sea bia tamu
Muache aje umpige na beki atulie

Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
 
Mwite gheto chukua simu yake kagua.....
Kwa maumivu utakayoyapata utamrudishia simu yake na ndo ticket ya kuachana itakapoanzia.
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
1. Kwanza tizama kwa umakini kama kuna makubaliano baina yenu umekuwa unayakiuka. Mf ulimpiga sound kwamba mwaka huu unaenda kwao bibie anaona ulimdanganya.
2. Labda kuna kimeo unapiga kimya kimya kashtukia hivyo amesanuka amejivuta
3. Kuna mhuni kashapima oil tayari sasa bibie kahamishia huko majeshi ila anashindwa kukuaga anataka muda ndio uamue juu kuachana kwenu
4. Au unavitabia flanflan ambavyo umekuwa ynaendekea navyo na yeye hapendi akikwambia ubadilike anaona hubadiliki hivyo amekata tamaa
5. Kuna wanga wamemlisha maneno tayari
CHA KUFANYA
1. Mwite kwako siku mwambie unashida muhimu akija mweleze ukweli mjadiliane aseme ama kuna shida yoyote aseme. Ukiona anasema hakuna shida. Jua penzi lumefika tamati. Kubali matokeo kubali matokeo.
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Acha undezi jamaa! Hivi unakuwaje na pesa za kuhonga halafu unateseka na mapenzi braza? Hebu ziheshimu baraka ulizopewa na Mungu basi!

How can you be such a fool bro?

Yani mwanamke unamuonesha mapenzi, unampa mahitaji yake and extras ila hana shukurani, you must be doing something the wrong way! Umemuendekeza mpaka ame loose respect to you..

Sikia cut that woman lose bro! Tafta demu mwengine like for sure. Wapo wanawake wengi wanatafta wapenzi wa kweli wanaojali. A million women out there ambao wako willing kutoa upendo wao wa dhati ila hawapati watu kama wewe au wako kwa watu wasiowajali kabisa.

Huyo mwanamke ameshatafuta “changamoto mpya” 😆😆😆 kwa wale wafanyakazi watanielewa kwa hii lugha!

Demu wako huyo hakupendi tena na anaye mtu ambaye anamjibu sms kila saa na kumuuliza uliza ameshindaje na kumpelekea mbususu kila wakati hata bila kuombwa😂! Wajibu wako na wewe ni kutafuta mwanamke mpya ambaye atakuwa na time na wewe kuanzia sasa!

Kata shobo zote, usipige simu wala kumpa hela kama utashindwa ntafte pm niko willing kukusaidia how to go about it!
 
miezi kama 2 ila mwezi huu wa kumi ndo mambo yamechange kabisa moja wala mbili haikai
Yani demu miezi miwili kashabadilika? We huyo mwanamke umemuokota wapi au Bar? Hakuwa mwanamke sahihi na wala usijaribu kumganda hata kidogo!
 
Habarini wadau na washauri wa JF

MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.

Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.

Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.

Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.

KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Usimuache ghafla tafuta dem mwingine mkali....
endelea nae punguza mawasiliano nae......
madem wana akili za ajabu ukifanya hivyo huenda akasepa mazima, which is ok ama akarudi kwa speed
 
Hebu weka sawa hapa...

Hivyo vitu vingi sana vilivyofanyika, vimefanyika ndani ya huo mwezi mmoja na nusu?

Au kwa lugha nyingine, umri wa mahusiano yenu ni mwezi mmoja na nusu tu?
Ila umekuwa mchokozi sana siku hizi Mtanijirani
 
Nikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake

nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
Sasa si ndio ukatafute chaka jingine blaza.....
ama huyo ulikutana nae wapi!?
 
"kwa kweli nampenda sana na yeye ananipenda sana"
hii kauli huwa siielewi.....kwani wewe aliekwambia huyo anakupenda sana ni nani??
Anausemea moyo wa mtu ambaye hata kupiga simu kwake ni kwa tabu na mateso na bila shaka atakuwa anakasirika kasirika hovyo kila jamaa anapoanza kulia lia 😂😂😂!
Yani mwanamke akikuchoka bana ni balaa
 
Koma na kaa ukijua akili ya kumuacha utaipata humohumo Wala si huku!,sisi hatuna mamlaka na penzi lenu bali mtakapokuwa tayari mtaachana au mtaendelea.

Cha kukushauri Kama kweli unampenda muonyeshe upendo wa dhati Kama haelewi na hathamini unachomuonyesha,stopisha yote unayomtendea yatende kwa uhafifu sana aione tofauti akijirudi nawe rudi asipojirudi ndugu mi sina ushauri mwengine ila tu usijifikirie kujiua tuibebe nchi maana nchi yetu kwa afrika ndo inashika namba moja watu wake kujiua..🤣
Kwamba asitupandishe chati zaidi?
 
Back
Top Bottom