Jamani mikopo ya HESLB msg hii ina maana gani

Jamani mikopo ya HESLB msg hii ina maana gani

Retired kosa la kwanza ulilolifanya ni kumsaidia kufanya huo mchakato wa kuomba mkopo, la pili ni kiendelea kujishughulisha na ufuatiliaji wa majibu kutoka HESLB.

Huyo kijana unamtengenezea mazingira magumu sana baada ya kuhitimu hataweza kujitegemea kujitegemea sawa sawa.
 
Retired kosa la kwanza ulilolifanya ni kumsaidia kufanya huo mchakato wa kuomba mkopo, la pili ni kiendelea kujishughulisha na ufuatiliaji wa majibu kutoka HESLB.

Huyo kijana unamtengenezea mazingira magumu sana baada ya kuhitimu hataweza kujitegemea kujitegemea sawa sawa.
Take note, kijana aliyenijia neno congratulation limemsumbua sana. Nimemwambia kuwa hapo subiri uone kama utapata mkopo. akasema nimeshapongezwa.....nikasema NO, a big NO. nikaamua kuuliza nipate tafsiri kama mahakama zinavyotafsiri sheria................................................. 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mbona kwangu ni kama jeshini, ngarambe tupu.... shamba kila siku, wanachunga ngombe wao wenyewe , kukata majani ya nombe etc etc etc...... mfanyakazi amepumzika , mpaka waondoke kwenda chuo.. Hivyo hakuna kudekezana........
 
mkuu uo ujumbe una maanisha maombi yako ya mkopo kwa hatua ya kwanza yapo vizuri hayana kasoro yeyote wala hayahitaji marekebisho yeyote. Ivyo subiri hatua inayofata ya allocation ambapo hapo unaweza ukapata kama ukikidhi vigezo vyao
asante kwa ufafanuzi. Kijana nilimweleza hivyo, akasema sasa Congratulations za nini? Nikamjibu, to be honest kuwa ni matumizi mabaya ya maneno
 
Yan ww kuandika kiswahili shida,kuandika kingereza shida, kuelewa kingereza ndo kabsa hamna kitu shida tu,mzee shule ulosoma mlikua mnaongea kilugha mpk mitihani mnafanya kwa kilugha nn?!
stupid! alisema mama
 
Subiria utajua boom unapata asilimia ngapi mzee. Utombee wanawake sasa kisha ukimaliza chuo njoo mtaa tuendelee kupambana.
 
Take note, kijana aliyenijia neno congratulation limemsumbua sana. Nimemwambia kuwa hapo subiri uone kama utapata mkopo. akasema nimeshapongezwa.....nikasema NO, a big NO. nikaamua kuuliza nipate tafsiri kama mahakama zinavyotafsiri sheria................................................. 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mbona kwangu ni kama jeshini, ngarambe tupu.... shamba kila siku, wanachunga ngombe wao wenyewe , kukata majani ya nombe etc etc etc...... mfanyakazi amepumzika , mpaka waondoke kwenda chuo.. Hivyo hakuna kudekezana........
Basi hapo ni swa na kuambiwa, Hongera! Ombi lako limepokelewa. haimaanishi umepewa tayari ulichoomba, bali ombi limefika tu.
 
Na hawa ndiyo wasomi wetu kiingereza rahisi kama hicho kinawapiga chenga.

Haya upate mkopo ukasome kwa bidii huko chuoni
 
Neno "jamani" kutumika kwa mwanaume napo naona kuna shida, au huko Dar ndio maneno yenu nyie wanaume wa Dar.
 
Msg hii ina maana gani : Conglatulation your application is verified complete wait for ALLOCATION PROCESS
Allocation process ina maana gani, nimepata nasubiri parcentage allocation au ni ndiyo wanaanza kuona nani apate na nani asipata
Una elimu gani?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom